and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 27,921
- 39,116
raga
nikiliona jina lako na avatar yako mwili unasisimka sanaDomo linakuwa zito kwani dada yako huyo
wewe fanya kumwambia tu.....
Yupo directly to the point, haina haja ya kuzunguka. Hata mm ningekwambia hivyo hivyo kama nimekuelewaIla kuna wanaume mna mambo ya ajabu
Eti mtu umemkuta mwendokasi unaanz dada nimekupenda xana xana
Naomba uje tuxpend wote 🤣🤣🤣🤣🤣
Jamani Jando lirudi tu![]()
Yupo directly to the point, haina haja ya kuzunguka. Hata mm ningekwambia hivyo hivyo kama nimekuelewa

Da baba bure wewe
🤣🤣🤣🤣🤣 kitendo hiko ni kama kumtandika kofi askari central!
Kutafuta msaada kwa hao mabaharia ni lawama tu zitafata.Kipi sasa?kuomba moja kwa moja au kutafuta msaada kwa hao watu?😅😅
ulimkubalia ?Hayupo direct ni mnafiki kuspend pamoja na kupendana wapi na wapi
Hapo kuna kumtamani
Kutaka mechi basi
Mambo ya kupendana wapi na wap![]()
of course kutamani ndio kunaanza alafu baadae kidogo kidogo unaanza kumpenda, ila kutaka mechi inabidi avumilie hadi mzoeane.Hayupo direct ni mnafiki kuspend pamoja na kupendana wapi na wapi
Hapo kuna kumtamani
Kutaka mechi basi
Mambo ya kupendana wapi na wap![]()
of course kutamani ndio kunaanza alafu baadae kidogo kidogo unaanza kumpenda, ila kutaka mechi inabidi avumilie hadi mzoeane.
Labda alijua akisema mkaspend pamoja utavutiwa na kuingia line
ulimkubalia ?
🤣🤣direct? si ungemtukana mbele za watuNaanzaje sasa
Angeomba mechi direct angeweza kuniamsha nikamfikiria
Anaanza na nakupenda 🤣🤣🤣






Kama Domo Zege, Mtume Mdau, MPE 20,000/- Atakuletea Chap, Ujilie Tunda Mpaka Ushangae. Unaezatamani Uoe Siku Iyo Hiyo!direct? si ungemtukana mbele za watu
DuhIla kuna wanaume mna mambo ya ajabu
Eti mtu umemkuta mwendokasi unaanz dada nimekupenda xana xana
Naomba uje tuxpend wote
Jamani Jando lirudi tu![]()
ask you for a **** directly na mtu hamjazoeana, mmeonana tu for the first time??. Will you agree with that??Ask me for a ****
Inarahisisha zaidi