Vinalipa sana tu hasa ukiwa na wasimamizi wenye weledi mkubwa lakini pia wawe ni watu ambao wanajua na wameishi ndani ya tasnia hiyo...
Kuna mambo mawili hapo:
LOW RISK = LOW RETURN: Yaani hapa ukiwekeza mtaji mdogo katika media industry basi na return yako itakua taratibu sana maana utatoa...
huna tofauti na huyo jamaa mwenye shati jeupe na tai nyekundu kwenye avatar yako..maana nae huwa hana muda wa kusoma ili kuhakiki speech aliyoandaliwa huwa anakurupuka na kuanza kuisoma bila kujua content ya anachoenda kuzungumza.....umeambiwa ni makamu mwenyekiti wa nccr mageuzi zanzibar sasa...
kumbe ili katiba pendekezwa kupitishwa wajumbe walipewa rushwa and if yes basi kumbe ile katiba haina maslahi kwa wananchi bali kwa baadhi ya viongozi.
nilichoka kuna siku nlikua mbeya nikawa nasikiliza radio moja inaitwa bomba fm...marehemu kanumba alikua anafanyiwa interview...mtangazaji akamuuliza "kwa mwaka unaweza kufanya movie ngapi zako binafsi na za kushirikishwa" jibu lake likawa"nina uwezo wa kufanya movie zangu mwenyewe kila baada ya...
tukiacha teknolojia hata wao tu hawapo serious...kuna vitu vingine vinahitaji akili tu na kujiongeza..kwa mfano kuna movie ya kibongo nikaona eti jini linaagiza redbull bar na wakati wa kuvuka barabara jini linaangalia kulia na kushoto...sasa hapo si hata mtoto mdogo ataona they are not serious!!!
kwa jinsi ninavyoelewa hili baraza ni kwa mujibu wa katiba ya sasa na pia ikukmbukwe kuwa hili ni bunge la bajeti namuundo wa sasa kwa mujibu wa katiba ya sasa unatakiwa kuwa hvi.kinachopiganiwa na ukawa katika bunge maalumu la katiba ni rasimu iliyotolewa na tume ya mabadiliko ya katiba ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.