Salaam wakuu,naomba mlioko Kilimanjaro mtupe taarifa ya uhakika,nini chanzo cha moto unaowaka hapo mlimani!?
Je, harakati za uzimaji zimefikia wapi? Nasikia bado unawaka na ni mkubwa. Je, ni kweli?
Usijiue,narudia tena usijiue,nenda nyumba za ibada,pata muda wa kusikiliza mafundisho ya neno la Mungu,Bwana Yesu anasema " njooni kwangu nyote msumbukao na kulemewa na mizigo nami nitawapumzisha.jishughulishe na mambo ya Mungu,kidogo kidogo utaanza kupata amani.
Mtoto akikosewa anaombwa msamaha kabisa,yeye ndipo anapojifunza kuwa akikosea naye aombe msamaha.maisha ya famiia ni uwazi na ukweli ndiyo hunogesha mahusiano,hata km ni mtoto wa kindergaten unamwomba tuu.mf ohh mwanangu nilikosea nilipokugombeza kumbe siyo wewe uliyemwaga maziwa,nisamehe...
Kweli kabisa,au ile tabia ya mtu kumcheka kilema,kumwonyesha dharau nk,sii njema kabisa,utamkuta mzazi anamwambia mwanawe " mwone,masikio km ungo," yaani sipendi kabisa.
Mdogo angu,mshukuru Mungu kwa kazi nzuri,kisha chukua hela kiasi uwekeze ili huko kuwekeza nako kukuingizie,waweza nunua viwanja then ukaviuza,jenga nyumba za kupangisha nk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.