Una uhakika na usemalo? Wanaume wa Tanzania ndivyo walivyo! Unaongea tu! Mbona mimi ni mtazania na sipo hivyo! Badala ya kumpa ushauri mwanamke mwenzako unakandia wanaume. Wewe umeolewa kweli?
Sioni kinachokupa wasiwasi kwani watanzania wanatawalika kirahisa sana! Kwanza hawajitambui. Unaweza kuwaambia kila siku wawe wanakwenda polisi kuchapwa nakora na usione wa kulalamika hata mmoja.
Oyaa basi hapo Makutopora a.k.a Makutu, mnakumbuka ule mlima Kitunda? Ilikuwa ndo sehemu ya kufuata mawe ya kujengea. Basi kulikuwa na maandishi kibao yalioandikwa na intake zilizipita. "Wanyani" nilikuwa kombania ya mtunduruni E-coy operation miaka 25 ya JKT namkumbuka afande Msalaba, Semwenda...
Wewe wa LUMUMBA a.k.a Magamba mbona huendi na wakati? Huu ni mwaka WA Mageuzi ni mwaka wa Ukombozi. Halafu huyu mtangazaji inaonesha ni kiasi gani anajitambua. Naona wewe hujitambui
Nilidhani ni mimi peke yangu nashindwa kutofautisha. Maana katoa sababu nyepesi sana. Inaonekanaka kabisa hana ukomavu kisiasa! Anazungumzia katiba ambayo tayari imekwama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.