Nisaideni point za kuwaambia wapiga kura wangu

eddy

JF-Expert Member
Dec 26, 2007
15,037
9,953
Mie najiuliza niingie na corus gani mwaka huu? Kama barabara tayari zimekamilika kwa kiwango cha lami, umeme wa Muhongo ndo week iliyopika umekamilika, maji tunamalizia kuweka umeme tuanze kusukuma maji mradi tayari, kila kijiji kina shule ya sekondari tena hadi form six, vituo vya afya kila kata na zahanati kila kata, vijana tumeshawakopesha boda boda, kijijini kwetu akina mama hawapiki mama ntilie.

Sasa niwaambieje wananchi wangu?
 
Ila kwa sasa,kama hvyo vyote vipo kilichobaki gawa gari na nyumba kwa kila mwananchi na loptop kwa kila mwanafunzi kuanzia msingi mpaka chuo.
 
Mie najiuliza niingie na corus gani mwaka huu? kama barabara tayari zimekamilika kwa kiwango cha lami, umeme wa muhongo ndo week iliyopika umekamilika, maji tunamalizia kuweka umeme tuanze kusukuma maji mradi tayari, kila kijiji kina shule ya sekondari tena hadi form six, vituo vya afya kila kata na zahanati kila kata, vijana tumeshawakopesha boda boda, kijijini kwetu akina mama hawapiki mama ntilie.

Sasa niwaambieje wananchi wangu?


1.Wambie neno ufisadi sasa sio issue,
2. Waambie kwamba unauchukia umasikini sana
3. na wakikuzushia kwamba wewe mwizi wambie waende mahakamani
4. Baada ya hapo, usubiri October
 
Waambie sasa utawanunuli helcopta za kuwahisha wagonjwa hospitalini na kuanzia january mwaka huu hawatakwenda shamba watakuwa wanakula kwako tu.

Watoto wao wote utawalipia ada na kuwanunulia nguo za kuvaa!!!

Watafurahi sana maana kwa uwezo wa Watanzania na hasa wa vijijini watakupigia makofi sana na kukuchagua kwa kishindo ukale bata Dodoma na Dar Es Salaam!!!
 
Waambie hata hii nchi hayo yanayoonekana yamefanyika hayafanani kabisa na rasilimali na uchumi wa nchi hii.

Isitoshe wanachi wana hali ngumu kimaisha kuliko kawaida hasa ukizingatia wamekewa mfumo wa Elimu wa kutowakomboa bali kuwafanya wawe mambumbumbu.

Ukiwaambia hayo utakua umewasaidia sana
 
Mie najiuliza niingie na corus gani mwaka huu? kama barabara tayari zimekamilika kwa kiwango cha lami, umeme wa muhongo ndo week iliyopika umekamilika, maji tunamalizia kuweka umeme tuanze kusukuma maji mradi tayari, kila kijiji kina shule ya sekondari tena hadi form six, vituo vya afya kila kata na zahanati kila kata, vijana tumeshawakopesha boda boda, kijijini kwetu akina mama hawapiki mama ntilie.

Sasa niwaambieje wananchi wangu?


Wenzako CCM wameahidi sh milioni 50 kwa kila kijiji Tanzania na laptop kwa kila mwalimu! USANII!
 
Mie najiuliza niingie na corus gani mwaka huu? kama barabara tayari zimekamilika kwa kiwango cha lami, umeme wa muhongo ndo week iliyopika umekamilika, maji tunamalizia kuweka umeme tuanze kusukuma maji mradi tayari, kila kijiji kina shule ya sekondari tena hadi form six, vituo vya afya kila kata na zahanati kila kata, vijana tumeshawakopesha boda boda, kijijini kwetu akina mama hawapiki mama ntilie.

Sasa niwaambieje wananchi wangu?

Mwachie mwingine agombee labda yeye atakuwa na jipya la kufanya.
 
Mie najiuliza niingie na corus gani mwaka huu? kama barabara tayari zimekamilika kwa kiwango cha lami, umeme wa muhongo ndo week iliyopika umekamilika, maji tunamalizia kuweka umeme tuanze kusukuma maji mradi tayari, kila kijiji kina shule ya sekondari tena hadi form six, vituo vya afya kila kata na zahanati kila kata, vijana tumeshawakopesha boda boda, kijijini kwetu akina mama hawapiki mama ntilie.

Sasa niwaambieje wananchi wangu?

Taja sehemu ulipo na weka picha!
 
Waambie hata hii nchi hayo yanayoonekana yamefanyika hayafanani kabisa na rasilimali na uchumi wa nchi hii.

Isitoshe wanachi wana hali ngumu kimaisha kuliko kawaida hasa ukizingatia wamekewa mfumo wa Elimu wa kutowakomboa bali kuwafanya wawe mambumbumbu.

Ukiwaambia hayo utakua umewasaidia sana

Wewe ni mmoja kati ya ma great thinker tuliobakia humu ndani..nimekupenda
 
Waambie kwenye bomba la maji utaweka koki nyingine kwaajili ya kutoa maziwa.Utaweka automatic switch umeme wa tanesco ukikata inaingia wa jua.waambie kwakua lami tayari.sasa utajenga viwanja vya ndege na flyover hadi milangoni mwao.Halafu utakutana Nao October 25 2015
 
Sioni kinachokupa wasiwasi kwani watanzania wanatawalika kirahisa sana! Kwanza hawajitambui. Unaweza kuwaambia kila siku wawe wanakwenda polisi kuchapwa nakora na usione wa kulalamika hata mmoja.
 
Back
Top Bottom