Mkuu uko juu ya mstari.....
Riba mbaya tena sana.lakini sijui ni udhaifu wa binadamu kuwamacho tunayo lakini hayuonii na masikio tunayo lakini hatusikii..?!
Kweli shetani katuweza...maana mpaka hao viongozi wa kiroho nao mbio nyingi kwenye mikopo.
Umesema kweli mkuu., aibu hata mitaani
Wanafanya ufuska wazi kabisa mpaka utadhani ni moja kati ya mafunzo yao.sijui hawaelewi kama heshima yao inashuka sana kwa hilo.?
Wengine wanapelekwa jeshi wakati wamesha washinda wazazi wao..!
Huku wapo wanalewa za bure mpaka hawajitambui...unadhani ni...
Hivi mnadhani kufuli kawekwa na nani na kwa nini.?
Na tusubiri tuone, nawaambia watatumbuliwa ya hawa lakini ya wale yatafunikwa kisomi.
Watamng'oa kweupeeee......
Nikivuta picha huyo albino maumivu aliyoyapata....
Kama ni kweli wao ndio wahusika
Mimi ningeshawishi tuwakate na wao kiungo kimoja kimoja huku wanashuhudia.au wafungiwe sehemu wafe pole pole kwa njaa.
Watakamatwa hawa hawa tu vidagaa .wale papa na nyangumi kama rizi never.!
Hawajitaki nini...na kosa la huyu ni kujisahau kama tuna matabaka sasa watamuandama mpaka wamfilisi.
habari wana jamvi...
Niliwahi kuhadithiwa kisa
Hiki na mtoto wa marehemu .ni
Hivi...
Mwaka 79 m!ama wa rafiki yangu alifariki kwa kulishwa sumu, hukooo kwa wahehe..sasa
Baada ya miaka 25kupita baba (mume) wa marehemu alipita kuzuru kaburi la mkewe.akakuta chura juu yake., kaokota jiwe kumpiga...
Hao unafatilia chini chini maana wengine watabaki uraiani unawamaliza au kukata mikono kimya kimya kwa kutumia wahuni kutoka mkoa mwengine.
Na wale wa jela huko watakoma ikiwemo kuolewa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.