Mahesabu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2008
- 5,971
- 3,827
Ni muda mrefu sasa toka uchaguzi mkuu upite mwanasiaasa huyu amekuwa haonekani hadharani. Ni nadra kumsikia akizungumza chochote na sana sana utasika wenzake wakimtaja kuwa John Mnyika NAYE amesema jambo fulani, kitu ambacho hakikuzoeleka kwa mwanasiasa huyu.
Je nini hasa kimemsibu mwanasiasa huyu???? hasa kwa wakati huu ambapo kuna umoja wa vyama na kuelekea uchaguzi wa ZANZIBAR.
Kwenye UTEUZI WA KATIBU KULE MWANZA sijamsikia na yeye ni mwenye wadhifa wa juu kwenye chama
(NB: HATA Dr. Slaa ILIANZA HIVI HIVI)
Public Figure huyu je anasoma? yupo likizo ya kisiasa?
Je nini hasa kimemsibu mwanasiasa huyu???? hasa kwa wakati huu ambapo kuna umoja wa vyama na kuelekea uchaguzi wa ZANZIBAR.
Kwenye UTEUZI WA KATIBU KULE MWANZA sijamsikia na yeye ni mwenye wadhifa wa juu kwenye chama
(NB: HATA Dr. Slaa ILIANZA HIVI HIVI)
Public Figure huyu je anasoma? yupo likizo ya kisiasa?