Recent content by MWUZA SOLI MAARUFU

  1. M

    Nauza 69 elfu tu Huawei 330 haina shida

    uko wapi weka numba ya simu
  2. M

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    hivi ni kweli ili upewe mkopo NMB lazima ufungue fixed account jamani mbona bamk nyingine hamna halafu aina maana maana badala ya kukopeshwa mpaka niweke hela kwanza mnapoteza maana ya mkopo.
  3. M

    Ukitaka kila siku usiumwe fanya hivi katika miasha yako ya kila siku

    mimi hata siyaelewi majani hayo naishia kuona picha tu
  4. M

    Mtangazaji wa Clouds FM, Adam Mchomvu aonesha bastola yake, pesa, simu na mali nyingine mtandaoni

    yan hayo mambo ya kizaman sana kuna haja gani ya kutangazia uma unamilik bastola may be ushamba unamsumbua
  5. M

    Kapuya Matatani: Adhibitiwa na kitoto kinachodai alikibaka, akakiambukiza virusi

    yan mimi nashangaa mtoto mwenyewe alikuwa wap mda wote jaman yan ndo anaona sasa unyanyasaji huo long time japo umri unamlinda mtoto huyo
  6. M

    Majibu yangu kwa Filikunjombe na Kangi Lugora

    hongera kka kaza moyo utafika
  7. M

    Dr. Sengondo Mvungi avamiwa na kujeruhiwa usiku wa manane!

    pole sana ndo tz hii kila siku lkn wahusika hawakamatwi
  8. M

    sex before marrige

    yan kujaribu lazima kama hailiki liwe zigo langu na ndoa za kikristu zilivyo mbaya mke mmoja na mme mmoja kwa aisha ya wawili sasa mpaka afe mmoja lini na kama bovu nivumilie tu yan bora kujaribu mapema
  9. M

    Mwigulu Nchemba: CHADEMA itakufa 2015

    Inaelekea mwisho kivipi wakati ndo mapambano yanaanza upya, watu wanapenda kutumia statement fulan ili kualalisha uongo lkn wanakaza buti wala hawajafika mwisho labda mtu mmoja kafika mwisho anataka na chama chote kifike mwisho we ukiona mwisho wako kaa pemben achia chama kidumu
  10. M

    ZITTO Kabwe adai KUKERWA NA KUCHOSHWA na siasa za MAJUNGU CHADEMA..

    hizo ndo siasa za bongo hutambui nani mkweli hata siku moja mana kila mtu anasema lake lkn ukweli utabak pale pale na utadumu daima.
  11. M

    Mweka hazina Iringa press club mwanahabari Vicky Macha afariki dunia ghafla!

    R.I,P VICKY MACHA tunawaombea ndugu na jamaa waweze kukabiliana na kipindi hiki kigumu ila mwenyez Mungu atawarehemu.AMINA
  12. M

    "Ukweli" kuhusu kifo cha RPC Barlow ni huu hapa...

    mim naona ni sawa tu kama alikuwa anapenda kubeba wake wa wenzake ni afadhali akapunguzwa ili wale wenye tabia kama yake na vyeo vyao watambua sasa watu wana hasira walee wao ndani wapendeze mke wa mtu sumu bwana.
  13. M

    Laptops and Mobile phones for sale

    wew biashara matangazo weka smu na bei zake hapa watu waone ila ukitaja tu aina za simu siyo watu wote wanazijua ila kwa kuweka picha zake mtu anaweza kuvutiwa na kununua faster.
  14. M

    Spea za kompyuta/laptops

    betri ya emachines D620 Inapatikana kwa shilingi ngapi za kitanzania.
  15. M

    Urais 2015: Mtei amshukia Zitto

    kwa kweli namsihi aangalie maneno ya busara ya wazee wanayompa na siyo kuropoka na kiongoz mzur anateuliwa na watu na siyo kusimama majukwaani na kujitangaza ovyo ovyo kwani jamni ikulu kuna nini
Back
Top Bottom