Recent content by Mwogopemungu

  1. Mwogopemungu

    Radio Free wakatisha matangazo ya BBC baada ya Padre kufunguka ukweli kuhusu Corona

    Sio kola kifo ni corona jamani tuwe waelewa,yapo magonjwa yanaua watu sana sio corona tu.Kumbuka hata wachawi wanapitia humo kuchukua kigezo cha corona kumbe ni corona ya kutengeneza.
  2. Mwogopemungu

    Katavi: Wahudumu watatu wa afya Wachunguzwa kwa wizi wa Dawa

    Mwizi hatosheki hata angepata bilioni ataiba tu ,hiyo ni roho imo ndani ake inamsukuma kuiba.
  3. Mwogopemungu

    Hii ndoto ina maana gani ndugu zangu

    Huo ni ushindi dhidi ya adui,umezikwa ukafufuka,ukalishwa vitu ukavitapika ,ni adui anakufatilia sana katika maisha yako akuangamize kabisa ila Mungu amekupigania ukashinda ,endelea kutegua mitego ya adui dhidi ako na kukataa mauti katika mipango yako yote ,Mungu yupo upande wako.Usibweteka...
  4. Mwogopemungu

    Ndoto hii ina maana gani?

    Hizo ni ndoto mbaya za kuzimu na mauti kama unamjua Mungu zikemee na uzikatae na ujitenge na hizo roho za mauti maana zinakufatilia ,usipokuwa makini utajikuta na wewe unamfata huyo unayemuota au mmoja wa ndg zako anafariki ,omba sana uvunje roho za mauti ndg angu .
  5. Mwogopemungu

    Ndoto tunazoota na tafsiri zake

    Ukiota ndoto mwombe Mungu akupe tafsiri wanadamu hakuna ajuaye tafsiri sahihi ya ndoto ndugu yangu utadanganywa tu
  6. Mwogopemungu

    Bodaboda ni kifo

    Sielewi nisaidie kunidadavulia
  7. Mwogopemungu

    Bodaboda ni kifo

    Kifo ni popote hata kama unauza maembe na matikiti unaweza pigwa na radi wakati wa mvua ukafa!! Sio hiyo tu hata kama upo bank kikazi jengo linaweza kuporomoka ukafa hapohapo, haijarishi ni kazi gani, kifo kipo pale pale labda jambo la msingi ni kusisitiza umakini wa dreva na ufahamu juu ya kazi...
  8. Mwogopemungu

    Jeshi la Polisi Arusha lawanasa Polisi wake 3 kwa tuhuma za kupokea Rushwa kutoka kwa Mfanyabiashara wa Madini

    Huku dar mbona hawawakamati manispaa ya ubungo kibamba ,mbona wanachangisha michango na risiti hawatoi za TRA?Wafanye ukaguzi kuna upigaji wa pesa hii wanakosaje mashine ya EFD?
  9. Mwogopemungu

    Mheshimiwa Rais Tumbua hii LATRA.

    Sio hao tu hata wilaya ya ubungo kuna shida,wanakusanya hela ya taka alafu taka hazisombwi gari linachukua mda mrefu kusomba taka zinanuka Pia wanachangisha wananchi pesa hawatoi risiti ya EFD machine(mashine ya TRA)Pesa inayochangwa nahisi kuna upigaji.Pia wanadai kuwa hata kama umesafiri muda...
  10. Mwogopemungu

    Naishauri Serikali kupitia Wizara ya Afya kuitupia jicho Hospitali ya Mloganzila

    Pamoja na kupungukiwa pesa kuna uradimu mwingi kwa viongozi ,serikali tupia jicho mloganzila hospitali!
  11. Mwogopemungu

    Wizara ya Afya Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Hospitali ya mloganzila kuna urasimu sana ,watumishi hawalipwi stahiki zao, wapo waliohamishwa kutoka sehemu mbalimbali toka mwaka 2017 mpaka leo hawajapata stahiki zao, pia na stahiki zingine kama mda wa ziada watumishi wanada stahiki zao za miezi 10-12, serikali chunguzeni uongozi wa hii hospital
  12. Mwogopemungu

    Ni taasisi ipi ya kifedha ambayo imekuumiza wewe, ndugu yako au Mtanzania mwenzako kwa mikopo yenye riba kubwa?

    Beyport hii taasisi wansumiza sana mtu unakopa unarudisha mara mbili ya pesa ulokopa,haifai kabisa
  13. Mwogopemungu

    Jinsi DC Sabaya alivyomnasa Afisa Ugani na mtandao wa kitapeli wa Q NET alivyochota mamilioni ya watu

    Weeh usiseme hivyo, kuna watu wana sound unakubali unaaminishwa tu. Siwezi kuwalaumu sana walojiunga ila ndo wamejua sasa kumbe ni utapeli, kuna na wengine wanajiita jina flani hivi nmelisahau nao matapeli wanakutaka uwatumie hela wanadai wanauza na kununua madini unapata pesa yako double ndani...
Back
Top Bottom