Habari kamili ni kuwa uhakiki unaendelea na baadhi wameshakamilishiwa uhakiki wao ila wengine bado uhakiki unaendelea .
Ila wapo ambao kutoka kada nyingine nao walijipenyeza na mfumo ukawachukua ndio maana upembuzi unaendelea katika kubaini jambo hilo.
Licha ya ambao uhakiki unaendelea...
Mimi nilikutana naye Jkt kwa mujibu wa sheria tulikuwa kombania moja sasa mbali na doso la Jkt bado kabla ya kuoga lazima nipige tizi boxer sasa yeye alikuwa anapenda sana hivyo akaomba niwe namfundisha fundisha ndio ikaanzia hapo.
Tukaja kukutana naye tena chuo tukawa washikaji hadi kuwa...
Mimi nilikutana naye Jkt kwa mujibu wa sheria tulikuwa kombania moja sasa mbali na doso la Jkt bado kabla ya kuoga lazima nipige tizi boxer sasa yeye alikuwa anapenda sana hivyo akaomba niwe namfundisha fundisha ndio ikaanzia hapo.
Tukaja kukutana naye tena chuo tukawa washikaji hadi kuwa...
Mimi nilikutana naye Jkt kwa mujibu wa sheria tulikuwa kombania moja sasa mbali na doso la Jkt bado kabla ya kuoga lazima nipige tizi boxer sasa yeye alikuwa anapenda sana hivyo akaomba niwe namfundisha fundisha ndio ikaanzia hapo.
Tukaja kukutana naye tena chuo tukawa washikaji hadi kuwa...
Moja ya sababu ya kuwa economic depression huko ulaya na Marekani zama hizo ni uneven distribution of income .
Hata watu wakiwa na ujuzi lakini wananchi uchumi ni mbovu hakuna tija hata kidogo maana fundi gari anasubiria mtu aje kutengeneza gari je mwenye gari asipokuwa na fedha ya kupeleka...
Tenga muda kupitia kuhusu shida hiyo kuna vitu utagundua hapo.
Ndio maana tunashauri kuwa serikali iweke kozi ya elimu maalumu kama kozi ya lazima kwa walimu wa shule ya msingi hasa madarasa yale matatu ya awali ili tuweze kusaidia shule zetu kiundani zaidi.
Naomba kuwasilisha .
Mwl wa akiba.
Nimefurahi sana kuona komenti yako ulivyogusa hilo eneo na kitaalamu inaitwa specific learning difficulties ambapo yapo makundi matatu msingi
Dyslexia (kusoma)
Dysgraphia (kuandika)
Dyscalculia (kuhesabu)
Ndio maana tunashauri walimu wa elimu maalumu ndio wawe walimu wa kufundisha madarasa ya...
Nashangaa sana kuona baadhi ya watanzania wenzetu kwa itikadi zao za kisiasa basi inafikia hatua wanaombea majanga au mikwamo kwa serikali ili wapate ya kusema na kunyoosha vidole kwa kweli hali hii ni mbaya sana
Tupige magoti tusali ndugu zetu roho hiyo iwatokea.
Ccm asilia vs Ccm Mpya.
Na kwa hasira na chuki zilizopo kwa ccm mpya sidhani kaa 2022 itatoka salama maana miaka kumi hii asilia wana hali ngumu sana na kimya chao kina mshindo siku wakiibuka
Umetoa kipimo kizuri cha uwezo wa kutumia akili wa watanzania.
Mtu ameuliza kuhusu gari halafu kuna watu wanaanza ushauri wa ununuzi wa viwanja na mambo mengine .
Sasa angekuwa anataka kununua kiwanja au vitu vingine si angeuliza jamani .
Hebu tujikite kwenye eneo egemezi la swali husika...
Siku ukifahamu kuwa lugha ya kiingereza ni kibebeo cha ujumbe tu kama ilivyo kimakonde basi utatuliza akili tu.
Muhimu ni kwamba mtu awe anafahamu ujumbe husika tu kiubobezi atawasilisha kwa lugha yeyote ile .
Ukweli mchungu ni kwamba wametumia miaka mingi sana kulinda kizazi chao mila na desturi zao hivyo hawawezi kukubali ziharibike au kuingiliwa kirahisi hivyo.
Ndio maana hata wazungu wazee wanalalamika sana kitendo cha sisi kuingilia jamii zao maana hapo badae italeta shida sana
Just imagine...
Naandika Mwl wa akiba
Mwisho wa Mwaka watu wengi wamekuwa na taratibu ya kuorodhesha vitabu walivyosoma kwa umma lengo ni kutia hamasa ya usomaji na ujifunzaji pia nami nimekuwa na utaratibu wa kufanya hivyo lakini mwaka huu nitaweka orodha ya watu ambao wamenivutia zaidi kwa mwaka huu 2020...
Gwaji Boy aliwahi sema mambo ya kuhuzunisha ni mengi kuliko mambo ya kufurahisha hivyo ukipata moja la kuchekesha basi unalishikiria barabara "
Hivyo tuache watu wale bata zao za kimahaba maana miwasho ya pilipili ndio utamu wake
Mbaya zaidi wanaoona donge ni wanawake kuliko wanaume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.