Mwl wa akiba
Member
- Nov 12, 2020
- 66
- 66
Mimi nilikutana naye Jkt kwa mujibu wa sheria tulikuwa kombania moja sasa mbali na doso la Jkt bado kabla ya kuoga lazima nipige tizi boxer sasa yeye alikuwa anapenda sana hivyo akaomba niwe namfundisha fundisha ndio ikaanzia hapo.
Tukaja kukutana naye tena chuo tukawa washikaji hadi kuwa marafiki ambao tuko kindaki Ndaki sana hata baada kumaliza chuo licha ya umbali kidogo lakini bado tuko pamoja
Aluta Continua.
Tukaja kukutana naye tena chuo tukawa washikaji hadi kuwa marafiki ambao tuko kindaki Ndaki sana hata baada kumaliza chuo licha ya umbali kidogo lakini bado tuko pamoja
Aluta Continua.