Mwaka 2002 ni mwaka ambao kwa familia hakuwa mwaka mzuri, familia ilipata uzuni ya ghafla kila mmoja aliumia kwa wakati wake
Baba yangu aliumia sana kwa sababu katika watoto wa familia dada yangu alikuwa ni mtoto pekee wa baba yangu na kwa kweli kwa darasani akili zake ziliwashinda kaka zetu...
Miaka kadhaa mara baada ya kuangaika hapa na pale kutaguta ajira nikafanikiwa kuajiriwa ofisi moja ya umma
Kwangu lilikuwa jambo la heri sana kupata kazi, na kwa wazazi wangu walifurahi sana kijana wao kupata kazi.
Mara baada ya taaribu za ajira nilipangiwa kituo cha kazi mkoa jirani na...
Ninacho amini na nachojua unachoamini ndicho kiwango cha maisha yako ukiona maisha yako amefungwa na historia yako ni sawa kabsa na inakuwa kama unavyo aminj lakini ukiamini kwamba lolote linawezekana chini ya jua na inakuwa kama unvyo amini
Hawa ni baadhi ya matajiri wakubwa duniani waliotoka kwenye mazingira magumu au familia zisizo na utajiri mkubwa, wakajijenga kupitia elimu, uvumilivu, ubunifu na biashara. (Kumbuka: si wote walikuwa maskini kabisa; baadhi walitoka familia za kawaida zenye changamoto.)
1. Oprah Winfrey –...
Hawa ni baadhi ya matajiri wakubwa duniani na historia ya familia zao kabla hawajafikia mafanikio:
1. Elon Musk – Familia yenye elimu, lakini si familia ya mabilionea
Alizaliwa mwaka 1971 Pretoria, Afrika Kusini.
Baba yake, Errol Musk, alikuwa mhandisi na alikuwa na biashara mbalimbali; mama...
Miaka kadhaa wakati nikiwa kijana kuna mambo ambayo kwa kweli yalinitatiza sana , rafiki yangu mmoja ambaye ni rafikk zangu sana alikuwa na kitabu nilikipenda sana kile kitabu
Nikamwomba kitabu hicho, kile kitabu nilisoma na kukimaliza kwa kweli kilinifanya kufikiri sana juu ya maisha yangu...
Wengi hapa tunazungumzia kufanikiwa na kuwa na maisha mazuri, nachozungumzia ni kuwa na mafanikio , mafanikio ni zaidi ya kula, kuvaa na kuishi vizuri, ingawa waliofanikiwa wanamaisha mazuri, pili sikusema kwamaba wale ambao wamezaliwa katika mazingira mazuri hawafanikiwi hapana lengo langu ni...
Inategemea tunawaza kutokea wapi? Ila hesabu za kidua wengi waliofanikio hawakutoka katika maisha mazuri, twende kwenye michezo, nitakutajia wacheza ambao hawakuzaliwa katika mafanikio leo hii ni mabilionea
1. Christiano Ronaldo
2. Lion Messi
3. Michael Jordan
4.Michael Jackson
5. Bill Gate...
Miaka 20s iliyopita, Mlango unafunguliwa mwalimu wa biology anaingia akiwa na mitihani ya kidato cha kwanza. Mwalimu anasalimia darasa na kutangaza matokeo wa kwanza anamtangaza kapata 99% na wa mwisho kapata 0% , kisha anaanza kugawa karatasi
Wakati namwangalia mwalimu anagawa karatasi naona...
Mafanikio yako hayategemei umezaliwa katika mazingira gani.
Leo nataka tupitie habari ya Isaya Yunge na Yeftha
Habari ya Yeftha tunaipata katika kitabu cha waamuzi mara baada ya Gidion na kizazi chake kuondoka tunakutana na habari hii
Yeftha historia yake hiko wazi alikuwa ni mtoto wa mama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.