Miaka kadhaa iliyopita, wakati tukiwa mdogo na marafiki zangu wengi , miongoni mwa rafiki yangu wa karibu sana huyu ndugu yangu wote tumezaliwa mwaka mmoja tofauti ni tarehe na miezi,
Tulifanikiwa kusoma shule za mzingi pamoja ingawa kila mmoja alisoma shule yofauti ila tulikuwa madarasa...
Nakumbuka wakati naandika ujumbe huu ulikuwa ni ujumbe wa Mungu kwangu wakunitia Moyo juu ya Maombi yangu ambayo Mungu hakujibu , kweli Mungu ni mwaminifu hata kwangu amejibu
Mara baada ya kumpa Yesu Kristo Maisha yangu kuwa Bwana na Mokozi wa Maisha yangu, ndani yangu kiu ya kutaka kumjua Mungu ilizaliwa ndani yangu
Kiu ile ilikuwa kubwa sana kiasi kwamba nilijikutana tu, natamani kumjua Mungu binafsi kama Bwana na mokozi wa maisha yangu
Nilianza kusoma biblia...
Miaka 15 iliyopita mara baada ya kumaliza chuo jijini Dar es Saalama, kiu yangu ilikuwa ni kufanya kazi mjini kama ilivyo ndoto ya vijana wengi.
Nakumbuka wakati namaliza chuo nilimwomba Mungu sana kupata kazi mara baada ya kumaliza chuo, nakumbuka siku moja tukiwa ibadani chuoni aliyekuwa...
Familia ambayo nilitokea haikuwa ni familia yenye uwezo, nakumbuka baba yangu alistaafu akiwa na miaka 40s na kipindi hicho nilikuwa mtoto wa miaka 10 hivi.
Maisha hayakuwa rahisi kipindi hicho mama alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya mtu binafsi, kwa kweli tulipitia kipindi kigumu cha...
Hellow habari, samahani naomba tuonane pale pa siku zote nina ujumbe wako, nisimu ambayo niliwasiliana na binti ambaye kwa kipindi kile nilitamani kuanzisha maisha naye ya pamoja
Miakaa kadhaa nyuma wakati , nimemaliza shule na kufanikiwa kuingia katika soko la ajira, nilianza mchakato wa...
Kwanini Wokovu wa zamani ulikuwa wa Moto
Wakati nikiwa kwenye kongamano la maombi la kitaifa la 18 linaloongozwa na Mwalimu Christopher Mwakasege.
Wakati ibada zikiwa ziliendelea na wakati tukiwa safarini kutoka kwenye hosteli kwenda ukumbini, kuna kitu nilijifunza
Nikamuuliza mama mmoja mtu...
Mara kwa mara nimekutana na komment za watu mbalimbali wakidharau neno la Mungu kwa kigezo kwamba Mungu kama yupo kwanini hakujibu maombi yao?
Watu hao wengi wao waliwai kuwa watoto wa Mungu na waliwai kushuhudia nguvu za Mungu lakini kutokana na changamoto za hapa na pale wamejikuta wakidharau...
Miaka 7 iliyopita nipitia katika changamoto kubwa ya mahusiano yangu na Mungu.
Katika kipindi hicho chote Mungu alikuwa mwaminifu katika maisha yangu , mambo mengi ambayo hata sikuyaomba Mungu alinifanyia kwa upendo
Maisha yalikuwa mazuri katika upande wa familia, watoto, uchumi nk kwa kweli...
Nikiwa miongoni mwa waombaji tuliopata neem ya kuhudhuria kongamano la 18 la maombi ya kutafita makao makuu ya serikali Dodoma.
Miongoni mwa masomo ambayo tulipata kujifunza ni juu ya umuhimu wa kuomba kwa habaro ya Nchi.
Mtumishi wa Mungu Mwl Mwakasege alitufundisha faida 7 za kuombea nchi na...
Rafiki yangu mmoja aliniuzia kifaa cha kieletronic wakati nanua hicho kifaa kwanza nilivyokipokea sikukielewa kwa sababu sijawai kukiona watu wengi wakikitumia, pili muonekano wake haukuwa kama ninavyotegemea kwa sababu nacho fahamu kifaa kama hiki lazima kuwa na muonekano flani.
Kwa kweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.