Recent content by MWL MTZ

  1. MWL MTZ

    Dr Slaa ajibu upotoshaji wa Mwandishi Mayage dhidi ya CHADEMA

    Swala ni kwamba mwanaharakati wa ukweli kama dk, Slaa kulipwa mshahara ml, 7. Aiseeeeee ni mkubwa mno wakati mtanzania anayempigania na kumtete anaishi chini ya dola 1 kwa siku , nina mashaka nae kama kweli si fisadi maana mshahara wake unaweza kuwalipa mshahara walimu ngazi ya degree 18...
  2. MWL MTZ

    Dr Slaa ajibu upotoshaji wa Mwandishi Mayage dhidi ya CHADEMA

    wengine ni wafanyakazi wa kata?
  3. MWL MTZ

    Dr Slaa ajibu upotoshaji wa Mwandishi Mayage dhidi ya CHADEMA

    Swala ni kwamba mwanaharakati wa ukweli kama dk, Slaa kulipwa mshahara ml, 7. Aiseeeeee ni mkubwa mno wakati mtanzania anayempigania na kumtete anaishi chini ya dola 1 kwa siku , nina mashaka nae kama kweli si fisadi maana mshahara wake unaweza kuwalipa mshahara walimu ngazi ya degree 18...
  4. MWL MTZ

    Hii ni aibu kwa wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi.

    tetesi hazina tofauti na khali halisi kaka, zimetoka jikoni tusubili tu,
  5. MWL MTZ

    Wanafunzi 18000 wa kidato cha 3 hawajui kusoma na kuandika-nani alaumiwe?

    Tatizo ni kwamba walimu wapo kwenye mgomo siku nyingi sanaaa. ndo mana wanafunzi wengi hawajui kusoma. usione wanakwenda kazini lakini hawafundishi kabisa sababu ni mishahara midogo na malimbikizo ma madai yao. habari kamili uliza cwt.
  6. MWL MTZ

    Hii ni aibu kwa wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi.

    kwa tetesi nilizozipata kutoka chanzo kimoja ni kwamba matokeo ya mitihani ya darasa la saba na form 4 ya mwaka huu yanayotegemewa kutoka hv karibuni ni kwamba kiwango cha ufaulu kimeshuka tena.hivi wizara haijui kwanini wanafunzi wanafeli?kwanini kila mwaka tulalamikie hili?
  7. MWL MTZ

    Education vs unemployment

    Jamani hivi hii elimu yetu hapa Tanzania inaweza kundoa tatizo la hukosefu wa ajira maana kuna vijana kibao wamemaliza vyuo vikuu na wapo tu bila ajira wala shughuli yoyote.wengine wamesoma internation relation, education, statistics, business administration, public administration, law, rural...
  8. MWL MTZ

    Mgomo wa walimu nchi nzima

    hivi chama cha walimu tz kutangaza mgomo wa walimu nchi nzima mwakani baada ya likizo utafanikiwa kweli, wamejipanga? maana nijuavyo mimi migomo mingi imeshindwa kuleta mabadiliko kutokana na tofauti kati ya walimu wenyewe pia hata walimu kutokuwa na imani na chama chao [cwt]. mfano mwaka...
  9. MWL MTZ

    Kujiunga na jeshi

    kwa yeyote yule anajejua taarifa za kujiunga na jeshi kwa wale wenye proffesionals atujuze maana nasikia waliokwenda wamemaliza course.
  10. MWL MTZ

    Matokeo ya kidato cha sita ya mbunge wa Simanjiro, Ole Sendeka

    no evidence or research no ringt to speak, habari zote ni za "eti" alafu kufeli mtihani si kipimo tosha kwamba huna akili? je waliofaulu wanamzid nini? hivi kwenu ninyi wote walifaulu kama sio tabia ya nyani kuona lamwezake tu. acheni ushabiki wa kisiasa bana........................
Back
Top Bottom