engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Haya wadau
mkoa wa pwani unawanafunzi zaidi ya elfu 18 wa shule ya msingi na sekondary wa kidato cha 3,hawajui kusoma na kuandika je
nani wakulaumiwa hapo?
kwa upande wangu mimi nailaumu serikali kwani nimekuwa mwalimu wa fizikia na hisabati huko malinyi ulanga,nimekumbana na matatizo mengi sana na haya yote yanasababisha na sera mbovu zilizowekwa na kulazimishwa ziwepo ktk elimu yetu,
1. tunalazimisha wanafunzi wote waliomaliza darasa la saba wajiunge na sekondary hata kama mwanafunzi huyo hajui kusoma wala kuandika
na shule zinazofelisha mala nyingi zimekuwa zikipewa adhabu.
2.Kuondoa adhabu za viboko kwa wanafunzi kiasi kwamba mwanafunzi yupo huru kufanya lolote lile atakalo, mliopo nje ya system ya ualimu hamuoni tatizo lakini tuliokuwepo humo hili ni tatizo kubwa sana,
3.Serikali imeondoa mitihani ya kidato cha pili na hata kama ipo mwanafunzi haruhusiwi kurudia darasa hata kama akiferi,hii imeondoa nguvu ya wanafunzi kusoma na wanafanya bora liende tu wamalize kidato cha nne
4.Pia serikali imeondoa mtihani wa darasa la nne kama ulivyokuwa zamani huu wa sasa hata ukiferi ni lazima usonge mbele
5.Ktk shule za kata mamlaka yapo chini ya kata husika kiasi kwamba inakuwa ni vigumu kwa viongozi wa kata kufuatilia maendleo ya shule husika kutokana na viongozi hao kuwa na upeo tofauti wa uelewa kuhusu elimu na kutingwa na mambo mengi nje ya kusimamia shule za kata
6. Maslahi ya walimu kutokutiliwa mkazo na kuwafanya walimu hao kuona kuwa ualimu ni kazi yakitumwa zaidi ukilinganisha na kzi nyingine
Yapo mengi sana matatizo yanayopelekea tuwe na idadi kubwa ya wasiojua kusoma na kuandika kubwa zaidi ni
kutaka kuwaonyesha wananchi na watoa misaada kuwa tumeweza kuingiza wanafunzi wengi shule ya msingi,wote wamefauru kwenda sekondari na wote wamemaliza sekondari,pasipo kuangalia mwisho wa siku tunazalisha wasomi watakao kuja kuididimiza nchi hii na kuimaliza kabisa
mkoa wa pwani unawanafunzi zaidi ya elfu 18 wa shule ya msingi na sekondary wa kidato cha 3,hawajui kusoma na kuandika je
nani wakulaumiwa hapo?
kwa upande wangu mimi nailaumu serikali kwani nimekuwa mwalimu wa fizikia na hisabati huko malinyi ulanga,nimekumbana na matatizo mengi sana na haya yote yanasababisha na sera mbovu zilizowekwa na kulazimishwa ziwepo ktk elimu yetu,
1. tunalazimisha wanafunzi wote waliomaliza darasa la saba wajiunge na sekondary hata kama mwanafunzi huyo hajui kusoma wala kuandika
na shule zinazofelisha mala nyingi zimekuwa zikipewa adhabu.
2.Kuondoa adhabu za viboko kwa wanafunzi kiasi kwamba mwanafunzi yupo huru kufanya lolote lile atakalo, mliopo nje ya system ya ualimu hamuoni tatizo lakini tuliokuwepo humo hili ni tatizo kubwa sana,
3.Serikali imeondoa mitihani ya kidato cha pili na hata kama ipo mwanafunzi haruhusiwi kurudia darasa hata kama akiferi,hii imeondoa nguvu ya wanafunzi kusoma na wanafanya bora liende tu wamalize kidato cha nne
4.Pia serikali imeondoa mtihani wa darasa la nne kama ulivyokuwa zamani huu wa sasa hata ukiferi ni lazima usonge mbele
5.Ktk shule za kata mamlaka yapo chini ya kata husika kiasi kwamba inakuwa ni vigumu kwa viongozi wa kata kufuatilia maendleo ya shule husika kutokana na viongozi hao kuwa na upeo tofauti wa uelewa kuhusu elimu na kutingwa na mambo mengi nje ya kusimamia shule za kata
6. Maslahi ya walimu kutokutiliwa mkazo na kuwafanya walimu hao kuona kuwa ualimu ni kazi yakitumwa zaidi ukilinganisha na kzi nyingine
Yapo mengi sana matatizo yanayopelekea tuwe na idadi kubwa ya wasiojua kusoma na kuandika kubwa zaidi ni
kutaka kuwaonyesha wananchi na watoa misaada kuwa tumeweza kuingiza wanafunzi wengi shule ya msingi,wote wamefauru kwenda sekondari na wote wamemaliza sekondari,pasipo kuangalia mwisho wa siku tunazalisha wasomi watakao kuja kuididimiza nchi hii na kuimaliza kabisa