kichomi
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 507
- 54
Hivi hao FFU walishawahi kuwa na watoto wanaosoma Vyuo Vikuu? maana nina uhakika hao hawajawahi kwenda chuo
Wao wenyewe hawakwenda na watoto wao hawaendi,kwa hiyo hawaelewi kinachoendelea.
Hivi hao FFU walishawahi kuwa na watoto wanaosoma Vyuo Vikuu? maana nina uhakika hao hawajawahi kwenda chuo
aluta continua shikamaneni wenzenu wapate haki yao ya kusoma.msitishwe na mkandala hata yeye anajua serikali ndo mchawi wa elimu yetu
Watoto wa siku hizi kusoma hawataki kazi kudai hela tu hakika mbeleni tutakuwa na taifa hovyo kabisa polisi hebu fanyeni kazi yenu......watazoea
Hivi hao FFU walishawahi kuwa na watoto wanaosoma Vyuo Vikuu? maana nina uhakika hao hawajawahi kwenda chuo
This time kama hawajajiandaa kufanya mtiti wa kisawasawa nitawadharau sana! huwezi kukurupuka kaandamana! maandamano ni vurugu ya kuharibu mali kuuwa au kuuwawa! basiiiiiiiiiiiii! hii ndo tafsiri ya maaandamano ! Eti kusema ya amani mmmh! ng'weee ipi amani tuliyonayo araaaa!
Watoto wa siku hizi kusoma hawataki kazi kudai hela tu hakika mbeleni tutakuwa na taifa hovyo kabisa polisi hebu fanyeni kazi yenu......watazoea
Nchi ina wenyewe wadanganye waone kilicho msababisha slaa ajifiche kwenye spika.Siku ya uhuru si ulionyeshwa hazina ya silha tulizonazo
nakubariKati ya Vyuo ambavo huwa naamini wakikunjika wanafanya kweli ni UDSM peke yake nchini hivi vingine ni lupepo tu.
Watoto wa siku hizi kusoma hawataki kazi kudai hela tu hakika mbeleni tutakuwa na taifa hovyo kabisa polisi hebu fanyeni kazi yenu......watazoea
aluta continua shikamaneni wenzenu wapate haki yao ya kusoma.msitishwe na mkandala hata yeye anajua serikali ndo mchawi wa elimu yetu
Watoto wa siku hizi kusoma hawataki kazi kudai hela tu hakika mbeleni tutakuwa na taifa hovyo kabisa polisi hebu fanyeni kazi yenu......watazoea
Hivi hao FFU walishawahi kuwa na watoto wanaosoma Vyuo Vikuu? maana nina uhakika hao hawajawahi kwenda chuo
Wamekwisha watoa roho sana mbwa hao lakini huwa haitangazwi, hivi unafahamu kwamba vurugu za Mbeya polisi walichinjwa sana lakini walichukuliwa sana na hakuna kiongozi aliyetaka itangazwe ndiyo maana ikawa kimya maana hakuna aliyeweza kupata uthibitisho wa kuuawa polisi, na inafanyika hivyo kwamba polisi wasije wakakata tamaa wakiona wenzao wanauawa na wananchi hivyo wawe na morali ya kutumika kama mipira ya kiumeMnatakiwa muwatowe roho hao polisisiemu kama wawili tu ndipo mzee wa mjengoni ataamka,bado kalala hajui kinachojiri kwa wapigakura wake.