Yaan roho huwa inauma kama hauna pesa kuona hannel za nyumban hadi ulipie wawe fair bas yaan kitendo hicho ni sawa kitendo mkeo kukutoza pesa kwa kila unapomuhitaji
Da bora kuwa wa kawaida nahic ni nafuu maana cheo ni dhamana na nidira inayotazamwa popote pale so ushauri viongozi waishi kwa kulingana na zama zilizopo
Unaitajika kumuaandaa mwanamke kisaikilojia na usiwe na papala kaka hakikisha mpenzi wako kalainika bara bara alafu ndo kisalome wa diamond ukichemka hapo kuna fat zo c bure
Habari wana jamvi mimi kilio changu ni ubora wa misumari ya sasahivi, msumari mpya na mbao mbichi kabisa lakini msumari unapinda yaani sehemu ya kutumia kilo moja ya misumari unatakiwa kuongeza nusu au kilo kabisa sasa cjui tbs
Mimi kwa mtazamo wangu kama Kabwe angekuwa ameajiriwa kama watumishi wengine wanavyo ajiriwa ningeunga mkono hoja ya kujitetea kama sheria ya utumishi inavyosema na Makonda angeweza Kumshugurikia hata bila ya kauli ya Rais lakini mkumbuke Kabwe ameteuliwa na Mwenye mamlaka ya kumsimamisha kazi...
Ni kweli dada zetucwanadhalilika sana na hata imefikia hatua mtu na elimu yake anajirekodi na kuanza kusambaza ni kujishushia heshima tuheshimuni mapenz jaman
Ila afrika tunawakati mgumu sana bora tungendelea na utawala wetu wa kichifu decentrolized country mambo yangeenda kama kawa huko kwingine tuwachie wazungu wenyewe
Borat69, post: 15254049, member: 88859"]Mkuu,
Hakuna anayeweza kumfanya lolote Mh Rais. Rais wa nchi sio mtu ni taasisi. Hao wahujumu UCHUMI watanyooka wao.[sikuwahi hata siku moja kumsifia Rais ila kwa hili inabidi niseme nilifuatilia hotuba yake na kitu ambacho nimekipenda na ninahitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.