Hotuba za Rais Magufuli za kichwani zinakera, asome hotuba anayoandaliwa

Huyu atafeli hadi kwenye speech, mwenzie aliyemtangulia alifanikiwa kidogo kwenye speech, Ila huyu atafeli vyote. Teeeeh!
 
Mi naona sawa tu alivowasema bahna...!!
Inafikia wakati aseme tu ili watu waielewe karakta yake wadau.

Hatuwezi kufanya kazi vilevile tukategemea mabadiliko ya haraka kama tunavoimba.....
Jpm anatuonesha tz anayoitaka akitueza ni jinsi gani iyo tz ilipofikia sasaivi.
Anasema wazi ili wewe ufikie maamuzi au akifikia yeye maamuzi wewe uwe ushamsoma and not otherwise.....!!!

Tukiwafumbia fumbia awa watu wataitafuna ii nchi mpaka basi...!!!
Brand them all JPM...!!!!
 
Mkuu upo kwenye kampeni nini?
Nadhani yupo kwny campaign mana matatizo uliyo yaainisha hapo ndo yamepelekea magufuri awe tofauti na mtazamo wako,anataka kuyashughulikia bila uoga,kumbuka wakwepa kodi wapo mahakamani na tra imezibitisha ukwepaji kodi wao ni zaidi ya trioni moja,na mahakama ndo mlango wao wa kusepa na historia inaonyesha serikali haijawahi shida kesi,wahusika huwahonga majaji na kuteleza,wakati huohuo mahakama wanahitaji pesa kutoka serikalini kwa ajili ya kesi za uchaguzi,hata live coverage ya maadhimisho yao ilishindikana 2bil zilitakiwa lkn hamna fedha,kwhy prezidaa aliamua kufikisha ujumbe uchome mioyo yao.Big up sana Hamna kuzunguka mahakama wamekuwa untouchable muda mrefu acha awachane.
 
Mkuu upo kwenye kampeni nini?
Nadhani yupo kwny campaign mana matatizo uliyo yaainisha hapo ndo yamepelekea magufuri awe tofauti na mtazamo wako,anataka kuyashughulikia bila uoga,kumbuka wakwepa kodi wapo mahakamani na tra imezibitisha ukwepaji kodi wao ni zaidi ya trioni moja,na mahakama ndo mlango wao wa kusepa na historia inaonyesha serikali haijawahi shida kesi,wahusika huwahonga majaji na kuteleza,wakati huohuo mahakama wanahitaji pesa kutoka serikalini kwa ajili ya kesi za uchaguzi,hata live coverage ya maadhimisho yao ilishindikana 2bil zilitakiwa lkn hamna fedha,kwhy prezidaa aliamua kufikisha ujumbe uchome mioyo yao.Big up sana Hamna kuzunguka mahakama wamekuwa untouchable muda mrefu acha awachane.
 
Usiwe na haraka ndugu, itakapofikia kipindi wasaidizi wake wa kazi yaani mawaziri na viongozi wengine wa serikali wakanyooka na kufanya majukumu yao kwa mjibu wa sheria na taratibu za utumishi wa umma ndipo Raisi ataturia na kupangilia vizuri hotuba zake, kwa sasa ana hasira sana!. Kwa kweli hata ningekuwa mimi ningefanya kama yeye au hata kumzidi maana inauma kweli Fedha za umma kuhodhiwa na watu wachache tu tena kwa njia zizizo harari.
 
Speech za Rais Magufuli zinashida kidogo, Rais akizungumza anazungumza kama mtu aliyejaa visasi na sifa nyingi, hana utaratibu mzuri katika kupangilia kile anachokisema.

Kama rais anapaswa kuzungumza kwa utaratibu na mpangilio hata kama ni sehemu anasisitiza jambo, vijembe kwa walio chini yake ni kutafuta tu kick kwa wananchi ambao mwenyewe keshatujua na amejawa na sifa tunazompa kila siku. Rais ni reflection ya watu alionao.


Hiyo ni Nyerere staili na viongozi wote ambao wapo timamu. Magufuli yupo sahihi sana. Sehemu ambapo nchi hii ilifikia inabidi afanye anavyofanya, yaani ni kama ameletwa na mungu aje aokoe taifa Tanzania.
 
Hiyo ni Nyerere staili na viongozi wote ambao wapo timamu. Magufuli yupo sahihi sana. Sehemu ambapo nchi hii ilifikia inabidi afanye anavyofanya, yaani ni kama ameletwa na mungu aje aokoe taifa Tanzania.

mkuu Nyerere hakuwa na visasi.
 
Hiyo ni Nyerere staili na viongozi wote ambao wapo timamu. Magufuli yupo sahihi sana. Sehemu ambapo nchi hii ilifikia inabidi afanye anavyofanya, yaani ni kama ameletwa na mungu aje aokoe taifa Tanzania.

mkuu Nyerere hakuwa na visasi.
 
Borat69, post: 15254049, member: 88859"]Mkuu,
Hakuna anayeweza kumfanya lolote Mh Rais. Rais wa nchi sio mtu ni taasisi. Hao wahujumu UCHUMI watanyooka wao.[sikuwahi hata siku moja kumsifia Rais ila kwa hili inabidi niseme nilifuatilia hotuba yake na kitu ambacho nimekipenda na ninahitaji kitokee ni kurudi kwa shirika la air Tanzania kwa dhamira aliyohionesha ni yadhati kabisa tumsapoti maana tukimsema huyu akiondoka akaja mwingine tutarudia matapishi yakusema bora makufuli kuliko huyu
 
Ni kweli kabisa Joka kuu hayupo aliye msafi kwa asilimia zote za usafi na ni kweli hata yeye Magufuli ana mapungufu kwani nae sio malaika ila ndie bora kati ya walioongoza hii nchi baada ya mwl. Nyerere. Anachokifanya raisi kwa sasa ndicho alichokuwa akikihubiri majukwaani wakati wa kampeni na hakika ndicho kilichokua kilio cha wananchi wote na pia ndizo sifa za kiongozi bora. Magufuli anayaelewa mapungufu yote ya viongozi waliopo na waliopita. Anaelewa mbinu zote wanazotumia mafisadi kuliibia taifa hili. Anaelewa mbinu zote wanazotumia hao hao mafisadi kuingia mikataba feki inayowaumiza wananchi na wao kujiwekea hela nje ya nchi. Ana uthubutu wa kuwachukulia hatua kali viongozi wazembe,wezi na wababaishaji na kwa wakati. Nadhani mmemsikia raisi jana akimhimiza jaji mkuu aharakishe hiyo mahakama ya mafisadi tena hata bila kibali cha bunge. Nadhani kwa yote ambayo ameshayafanya kwa kipindi chake hiki kifupi anastahili pongezi na kutiwa moyo,maombi na dua za watanzania wote. Wenye kejeli na kebehi haswa katika masuala ya bomoa bomoa ni kshindwa kwao kuzielewa zisemavyo sheria.

..tunachotakiwa kufanya siyo kubweteka na kusifia wakati wote.

..bado tunatakiwa kuwa macho kufuatilia nyendo na kauli zote za serikali.

..serikali zetu zina uwezo mkubwa sana wa kuficha maovu yake, na kuhadaa wananchi.

..tujitahidi kulipa BUNGE letu MENO ya kuikagua na kuisimamia serikali.

..kama bunge letu lingekuwa na meno basi lingeweza kuzuia huu ufisadi anaoufichua Magufuli kabla hajakuwa mkubwa kiasi hiki.
 
Speech za Rais Magufuli zinashida kidogo, Rais akizungumza anazungumza kama mtu aliyejaa visasi na sifa nyingi, hana utaratibu mzuri katika kupangilia kile anachokisema.

Kama rais anapaswa kuzungumza kwa utaratibu na mpangilio hata kama ni sehemu anasisitiza jambo, vijembe kwa walio chini yake ni kutafuta tu kick kwa wananchi ambao mwenyewe keshatujua na amejawa na sifa tunazompa kila siku. Rais ni reflection ya watu alionao.
Kwa hapa tulipokuwa tumefika tulihitaji Rais mwenye hotuba kali kama Magufuli. Na mtu yeyote anayempinga Magufuli lazima atakuwa au yeye mwenyewe ni jipu au pengine ndugu yake katumbuliwa. Serikali inakusanya sh trilioni moja na nusu kwa mwezi bilioni 600 zaidi ya makusanyo ya serikali iliyotangulia, ajabu watu wanasema Rais anatafuta sifa, acheni hizo.

Tulikuwa tumefika mahali tukaona kwa sasa ni bora kwa kuanzia tuwe na Rais dikteta ili atutoe hapa tulipo. Na nchi zote zilizokuwa kwenye hali kama tuliopo sisi ilimpata Rais dikteta ili kuondokana na tatizo la wizi na ufisadi. Rais akiwa mpole anayetafuta hotuba za kuwafurahisha watu ndiyo anatufikisha mahali makontena 11,000 na magari 2000 yanatoka bandarini bila kupipiwa ushuru. Haiwezekani, tunataka Rais awe mkali na mtekelezaji wa matamko yake ili nchi irudi kwenye heshima yake.

Mafisadi wako wengi na ndiyo hao wanaomchukia Magufuli wakitaka akasome namna ya kutoa hotuba, hakuna kitu kama hicho, hapa kazi tu hizo hotuba za kubembelezana huku tunateketa tulishaziichoka tunataka hotuba za kazi. Sasa watu wametumia bilioni 170 kwa kutengeneza vitambulisho milioni mbili wakati wengine wametumia bilioni 70 kutengeneza vitambulisho milioni ishirini halafu majipu bila aibu wanasema Rais anatumia ukali walitaka afanye nini.
 
Kweli ss watanzania tuna shida kichwani..... Cjui akae nani asiletewe dosari.
Mkuu umeona hiyo..Watz siasa zimeshatuaribu. Wanataka aongee km mtu mwingine hata hawajui kila mtu anapersonality yake.
 
Speech za Rais Magufuli zinashida kidogo, Rais akizungumza anazungumza kama mtu aliyejaa visasi na sifa nyingi, hana utaratibu mzuri katika kupangilia kile anachokisema.

Kama rais anapaswa kuzungumza kwa utaratibu na mpangilio hata kama ni sehemu anasisitiza jambo, vijembe kwa walio chini yake ni kutafuta tu kick kwa wananchi ambao mwenyewe keshatujua na amejawa na sifa tunazompa kila siku. Rais ni reflection ya watu alionao.
Wewe jipu kaa utulie ukamuliwe kama zamu bado still come down utafikiwa tu
 
Sasa huoni kuwa jamaa wa NIDA keshahukumiwa na akipelekwa mahakamani jaji lake ni moja tu, kumfunga? Kimsingi magu asiwe anatoa hukumu kwani anawanyima wanasheria uwezo wa kufanyakazi kwa kuwaingilia. Hebu awaachie wenye kazi yao kwani watatoa hukumu za kumpendeza yeye na hii ni kinyume cha haki.
Mtendeeni haki Rais ameeleza kilichotokea kama kilivyo kwa maana nyingine kasema ukweli mtupu! Mlitaka aongope? Wengi wape. Kama wananchi wengi wanapenda anachofanya na anavyoongea who are you to criticise? Si mnasema demokrasia ni wengi wape?!
 
Speech za Rais Magufuli zinashida kidogo, Rais akizungumza anazungumza kama mtu aliyejaa visasi na sifa nyingi, hana utaratibu mzuri katika kupangilia kile anachokisema.

Kama rais anapaswa kuzungumza kwa utaratibu na mpangilio hata kama ni sehemu anasisitiza jambo, vijembe kwa walio chini yake ni kutafuta tu kick kwa wananchi ambao mwenyewe keshatujua na amejawa na sifa tunazompa kila siku. Rais ni reflection ya watu alionao.
si bora wewe bado unaendelea kumsikiliza , mimi nilishaacha kitambo sana .
 
Kwenye suala la diplomasia na busara tukubaliane Raisi wetu siyo mtaji wake..Hata kama ulikuwepo uwanja wa Taifa na kusikiliza hotuba yke ya kwanza kama Raisi yaani alikuwa anachanganya tu mambo.Ila ndo Magu huyo,tutamisi sana hotuba za Msoga.
Hatuhitaji hotuba, tunahitaji vitendo, na Magu hahitaji kick maana vitendo vinaonekana. Ninamuombea kila siku
 
Back
Top Bottom