Umesahau majina mengine, anaitwa baba, nabii,docter, mh, mwana wa mungu na mwanzilishi wa manabii hon.geor Davie .......kwangu Mimi mtu mmoja kijiita majina yote haya ni kitendo cha kifisadi
Ukidhubutu kuupinga huo unabii wake especially unapokuwa muumini wake ujue utatimuliwa tuu. Nadhani huyu ndiyo nabii mwenye majina mengi zaidi ambayo lazma umwite yote
Kama ni nabii basi tusimpiuze coz kitendo cha kuwa nabii kinampa fursa adimu ya kujua mambo kabla ya kutokea. Lakin nadhani huo unabii unapoteza maana pale anaposhindwa kuuweka adharani
Siamini kwamba mtu mmoja anapaswa kushikilia uhai wa taasisi kiasi cha kufanya taasisi kuogopa kumuwajibisha. Kumtimua Zitto yalikuwa ni maamuzi ya lazima
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.