Recent content by Mwl. Gift

  1. M

    Wassira: Nitagombea urais 2015

    Huu ni Uhuru tuu wa kufikiria
  2. M

    Sixtus Mapunda asababisha vijana Igunga kumzomea Halima Mdee

    Wanachanganyikiwa hawa .....
  3. M

    Kwa hili la ujenzi wa maabara ninampongeza rais Kikwete

    Safi sana, huyu mtoa mada bila shaka ni shemeji yake Kikwete
  4. M

    Nabii GeorDavie: Namjua Rais ajaye 2015

    Umesahau majina mengine, anaitwa baba, nabii,docter, mh, mwana wa mungu na mwanzilishi wa manabii hon.geor Davie .......kwangu Mimi mtu mmoja kijiita majina yote haya ni kitendo cha kifisadi
  5. M

    Nabii GeorDavie: Namjua Rais ajaye 2015

    Ukidhubutu kuupinga huo unabii wake especially unapokuwa muumini wake ujue utatimuliwa tuu. Nadhani huyu ndiyo nabii mwenye majina mengi zaidi ambayo lazma umwite yote
  6. M

    Nabii GeorDavie: Namjua Rais ajaye 2015

    Kama ni nabii basi tusimpiuze coz kitendo cha kuwa nabii kinampa fursa adimu ya kujua mambo kabla ya kutokea. Lakin nadhani huo unabii unapoteza maana pale anaposhindwa kuuweka adharani
  7. M

    Tangazo: Uchaguzi wa Wenyeviti wa Serikali za Mitaa pamoja na Wajumbe tarehe 14/12/2014

    Mbona huku kwetu hajabandika hivyo vipeperushi?
  8. M

    Dk. Bana ataka kugombea ubunge kupitia CHADEMA

    Siamini kwamba mtu mmoja anapaswa kushikilia uhai wa taasisi kiasi cha kufanya taasisi kuogopa kumuwajibisha. Kumtimua Zitto yalikuwa ni maamuzi ya lazima
  9. M

    Zitto: Nashambuliwa, tunashambuliwa! PAC tunasema "Hatutetereki"

    Time will tell, wapo watakao angamia miongoni mwenu. Wananchi pekee ndio tutanusurika
  10. M

    Lowassa: Rushwa ni kansa inayoitafuna nchi

    Unamaanisha Nini?
  11. M

    Mbowe acha kupotosha umma

    Hukuelewa
Back
Top Bottom