Dk. Bana ataka kugombea ubunge kupitia CHADEMA

Dk. Bana ataka kugombea ubunge kupitia CHADEMA

Siamini kwamba mtu mmoja anapaswa kushikilia uhai wa taasisi kiasi cha kufanya taasisi kuogopa kumuwajibisha. Kumtimua Zitto yalikuwa ni maamuzi ya lazima
 
Dr. Bana ameiabisha familia yake hajatosheka, ameiaibisha UDSM hajatosheka na sasa ameamua kumzamisha Zito kwenye tope. Hivi Bana anapomsifu Zito na kuikosoa Chadema hivi si anazidi kuwathibitishia watu kuwa kweli Zito alikuwa anatumika! Maana haiwezekani Bana akatoa ushauri wa kuijenga chadema kwahiyo kila anapoongea kitu kuhusu makosa ya chadema ujue the opposite is true.
 
Aache mambo yake ya kilaghai nani asiyejua kuwa yeye ni CCM damu.

Yaani hata kama atashinda huo ubunge asubuhi na mapema tena kwa kishindo chadema wala ukawa hawawezi kumpokea. Tena wawe mbali na magarasha yote yatakayotupwa na ccm ukawa wasihangaike nao kabisa.
 
Sidhani kama CDM ni wajinga kiasi hiki?! Huyu atauza jimbo kwa ma-CCM zero hours, kama CDM wakifanya makosa hayo ya kumsimamisha.

Huyu babu Bana namfananisha yule mbunge Shibuda. Wachumia tumbno. Hafai hata kupewa uongozi wa kijiji kwa tiketi ya Chadema. Ameona akigombeakwa tiketi ya ukoo wa panya hatapata sasa anajipendekeza Xhadema. Bana baki na Ccm hatutaki mamluki.
 
barcelona na messi. hahaaaaaa!


Katika gazeti la mwananchi la leo amesikika Dk. Benson Bana akisema ana mpango wa kugombea ubunge jimbo la Bukoba vijijini kwa tiketi ya Chadema.Hii imekaaje wadau?



Chanzo: Gazeti Mwananchi | 14 Novemba,2014
 
Zamani Si alikuwa mshauri wa rais. Baada ya kuchokwa akaendelea Na redet. Then Leo hii yupo Na twaweza. Juzijuzi tulikuwa naye fyatanga anatafuta mamba za simu za repoa
 
agombee ubunge wakati kuongea hawezi? yule sijui hata mke wake alimtongozaje>?
 
samahan wadau nielekezeni ni kivip twaweza walivyopata study population,kwa sababu nilisikia wanasema waliwasiliana na watu kwa njia ya simu,je namba za simu zilipatikanaje hadi niamini kuwa study yao haikuwa biased
 
Dokta Bana hajaona wana CCM wanaotaka kugombea uraisi kupitia CCM?
 
Hahahahahah lol!!! eti ni kama Barcelona kumtimua Messi Huyu Messi atakuwa anayeichezea Barcelona ya Buguruni.
 
Wana chadema nimesoma katika gazeti la mwananchi la jana Dr Bana akilalamikia kauli ya Dr slaa kumhusisha na ccm katika matokeo ya utafiti yaliyotangazwa juzi.

Katika kauli aliyoitoa Dr Slaa alisema haya amini matokeo ya utafiti huo Kutokana na kumhusisha Dr Bana na taasisi yake.

Dr slaa aliongeza kuwa kabla matokeo ya utafiti huo kuwekwa hadharani alikuwa ameshapata na kuyasoma na katika utafiti wake alibaini kuwa yalikuwa na mkono wa kigogo mmoja wa serikali.

Dr slaa aliongeza kuwa alipata nakala ya barua pepe iliyotoka kwa kigogo huyo ikiishukuru taasisi hiyo kwa kazi nzuri Waliyofanya na mambo yamekwenda kama walivyo panga.

Katika utetezi wa Dr Bana anamlalamikia Dr Slaa kwa kumhusisha na ccm na kuongeza kuwa hata yeye anatamani Ccm iondoke madarakani japo kwa miaka mitano tu ili watanzania waone tofauti.

Dr Bana anaseme kauli iliyotolewa na Dr Slaa imemfadhaisha sana kwakuwa anampango wa kugombea ubunge kupitia chadema lakini kwa sasa anawasiwasi kama atapokelewa vizuri na wana chadema kutokana na kauli alitoitoa Dr Slaa.
 
Dr bana mara nying amekua akituhumiwa kw kufata matakw ya viongz hasa wa cham tawala,asitafute kujiweka safe side apinge hoja avunje hoja na tuhuma afu arudshe kw slaa majib nd tutaona kakomaa Kisiasa.
 
Bana ana akili za UPE. Yaani badala ya kujiunga na chadema kwa sababu anapenda falsafa na itikad yake, yeye anajiunga ili agombee ubunge.

Pia anadhan kwa sababu ya umaarufu wake na usomi uchwara, akitaka kugombea atapewa nafasi bila kujali taratibu za chama. Demokrasia iko wapi? Hapo ndipo watu watambue kuwa Bana hana lolote la kuelimisha umma wa watanzania. Ni mshabik tu kama wale Simba na Yanga.
 
Back
Top Bottom