Recent content by Mwizukulu mgikuru

  1. Mwizukulu mgikuru

    JamiiForums Tanzania Weupe una thamani kuliko weusi

  2. Mwizukulu mgikuru

    JamiiForums Tanzania Yuko wapi Zitto Kabwe?

    wewe ndie msemaje wa zitto kabwe au mke wake?
  3. Mwizukulu mgikuru

    JamiiForums Tanzania Pole kwa watanzania ambao hela imewakataa

    ndege JOHN hivi uliajiriwa lindi au mtwara.....japo sijawahi kumuona mwalimu tajiri
  4. Mwizukulu mgikuru

    JamiiForums Tanzania Nina mwanamke mwenye maneno makali sana nishaurini naona amevuka mipaka

    kwanini unanitusi mkuu?.....
  5. Mwizukulu mgikuru

    JamiiForums Tanzania Nina mwanamke mwenye maneno makali sana nishaurini naona amevuka mipaka

    mimi mwanamke akinipa kauli kwa mfano kama, " wewe ulinioa mimi kwa bahati mbaya " au kwanza wewe sio level yangu kiuhalisia hata hisia tu huwa inakata namuona kama dada yangu.............
  6. Mwizukulu mgikuru

    JamiiForums Tanzania Mnaweza vipi kuishi au kuwa karibu na ndugu au mzazi mwenye ubinafsi

    huyu ni muhaya mkuu nahisi ndio sababu au ni mental and psychological problem......
  7. Mwizukulu mgikuru

    JamiiForums Tanzania Mnaweza vipi kuishi au kuwa karibu na ndugu au mzazi mwenye ubinafsi

    nipo independent mkuu, lakini huwa najitoa kumpa msaada japo work done is zero
  8. Mwizukulu mgikuru

    JamiiForums Tanzania Mnaweza vipi kuishi au kuwa karibu na ndugu au mzazi mwenye ubinafsi

    Cha kwake kwake na cha kwangu anataka tukimiliki wote.....akiwa ameshiba atatoa kashfa na kejeli kama zote, na akiwa na njaa anajifanya mpole na kuongea sauti ya huruma, ukimpa msaada ni wiki moja moja tu anasahau kila kitu.. "Utamsikia akiongea yaani sijui siku nikiugua nani atanisaidia"...
  9. Mwizukulu mgikuru

    JamiiForums Tanzania Maswali kibao kuhusu taarifa ya Joanah

    😓😓
  10. Mwizukulu mgikuru

    JamiiForums Tanzania KERO Malipo Interns BMH Yamekwama. Tunahitaji Msaada!

    hiyo taasisi huwa ina upuuzi mwingi sana....hasa hao incharge wengi ni wapuuzi sana..kujuana juana
  11. Mwizukulu mgikuru

    JamiiForums Tanzania Kama unasumbuliwa na aina hii ya vipele nyuma ya shingo/kisogoni ipo dawa rahisi sana

    hizo ni fangasi mkuu na dawa yake inafahamika ipo ya kupaka na kumeza na matibabu yake ni mwezi mzima..'''
  12. Mwizukulu mgikuru

    JamiiForums Tanzania Ndoa ni taasisi inayopigwa vita sana

    cheki hii meseji imetumwa na mama yangu wa kambo anashangilia baada ya ndoa yangu kuvunjika
Back
Top Bottom