Hiyo familia ni matajiri wakubwa na wengine wana vitengo vikubwa serikalini, kama vipi wawe wanatumwagia maji machafu wakipita na magari yao,.... Hatukomi kumnanga Baba yao huku mtandaoni nadhani hata na wao wanaelewa sababu ya sisi kufanya hivi.........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.