mimi ndie nilikusaidia ilitolewa copy wapi...unahisi bila taarifa zako za uhamisho kuingizwa kwenye mfumo nani atakuelewa huko mkoani kituo kipya unapoenda......
kwa hiyo suluhisho ilikuwa ni kutembea na mubaba😃😃😃.......yaani kwenye maisha yako usishindane na mwanaume, ukijaribu kufanya hivyo umeharibu kila kitu, kaeni chini mzungumze ikishindikana kila mmoja apite hivi.
mkuu hata nisipojionyesha kuwa nina pesa au nimesoma sana...bado haiba yangu, muonekano wangu hata uvaaji wangu utawaumiza watesi wangu na wenye chuki na mimi kwa hiyo sidhani vita inakwepeka kwa njia ulizozitoa hapo juu......vinginevyo tuvae marapurapu, tusijipake mafuta mazuri, tusiishe kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.