mimi mwanamke akinipa kauli kwa mfano kama, " wewe ulinioa mimi kwa bahati mbaya " au kwanza wewe sio level yangu kiuhalisia hata hisia tu huwa inakata namuona kama dada yangu.............
Cha kwake kwake na cha kwangu anataka tukimiliki wote.....akiwa ameshiba atatoa kashfa na kejeli kama zote, na akiwa na njaa anajifanya mpole na kuongea sauti ya huruma, ukimpa msaada ni wiki moja moja tu anasahau kila kitu..
"Utamsikia akiongea yaani sijui siku nikiugua nani atanisaidia"...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.