Recent content by Mwizukulu mgikuru

  1. Mwizukulu mgikuru

    JamiiForums Tanzania KERO Kwanini stendi ya Magufuli hakuna viti kwaajili ya abiria(waiting area) kama zilivyo sehemu zingine

    waafrika sio wastaarabu wangevunja hivyo viti...wacha wateseke tu
  2. Mwizukulu mgikuru

    JamiiForums Tanzania Kwanini watumishi wa umma wanaringa wakiwa kazini?

    unaufahamu ule msemo wa masikini akipata hulia mbwata?.....basi usiombe kumkuta mwanamke ndie mkubwa wa kitengo utajuta kumfahamu...
  3. Mwizukulu mgikuru

    JamiiForums Tanzania Barua za uhamisho kutoka TAMISEMI kwenda mkoani inaweza tumika kukuhamisha?

    mimi ndie nilikusaidia ilitolewa copy wapi...unahisi bila taarifa zako za uhamisho kuingizwa kwenye mfumo nani atakuelewa huko mkoani kituo kipya unapoenda......
  4. Mwizukulu mgikuru

    JamiiForums Tanzania Tupate wadhamini kidogo

    kwa hiyo suluhisho ilikuwa ni kutembea na mubaba😃😃😃.......yaani kwenye maisha yako usishindane na mwanaume, ukijaribu kufanya hivyo umeharibu kila kitu, kaeni chini mzungumze ikishindikana kila mmoja apite hivi.
  5. Mwizukulu mgikuru

    JamiiForums Tanzania Wadada wa instagram na Facebook.

    natakiwa nikui gnore unaanzisha nyuzi nyingi za kipumbavu...umetumwa kuiharibu jamii forum ionekane ni mtandao wa mafara? .........
  6. Mwizukulu mgikuru

    JamiiForums Tanzania Uwezo Wako: Baraka au Laana?

    mkuu hata nisipojionyesha kuwa nina pesa au nimesoma sana...bado haiba yangu, muonekano wangu hata uvaaji wangu utawaumiza watesi wangu na wenye chuki na mimi kwa hiyo sidhani vita inakwepeka kwa njia ulizozitoa hapo juu......vinginevyo tuvae marapurapu, tusijipake mafuta mazuri, tusiishe kwenye...
  7. Mwizukulu mgikuru

    JamiiForums Tanzania Hali ngumu ya uchumi anayoipitia mtu inaweza kuwa sababu ya kutengwa?

    kama kuna ishu yoyote uliwahi kumbeba hapo nyuma basi una haki ya kuongea hivi
  8. Mwizukulu mgikuru

    JamiiForums Tanzania Hali ngumu ya uchumi anayoipitia mtu inaweza kuwa sababu ya kutengwa?

    Ni swali nimelipata kwenye mjadala wa kahawa au ni dalili za kifo.. Maoni ya Mdau
  9. Mwizukulu mgikuru

    JamiiForums Tanzania Vijana wa Dar wananiita mshua

    ndio pigo zangu 😁😁😁😁
  10. Mwizukulu mgikuru

    JamiiForums Tanzania Mwanaume anaesomea nursing na ukunga ndio mtu shujaa sasa kwa Tanzania

    yupo kondoa mji, idodomya
  11. Mwizukulu mgikuru

    JamiiForums Tanzania Mwanaume anaesomea nursing na ukunga ndio mtu shujaa sasa kwa Tanzania

    bed pan , bed making...yaani tu b2
  12. Mwizukulu mgikuru

    JamiiForums Tanzania Vijana wa Dar wananiita mshua

    mimi ni mzee tangia hapo
  13. Mwizukulu mgikuru

    JamiiForums Tanzania Vijana wa Dar wananiita mshua

    ndio maana yake au sio? ni kama dingi
  14. Mwizukulu mgikuru

    JamiiForums Tanzania Vijana wa Dar wananiita mshua

    naulizwa mshua tukuchomee nusu au mzima?
  15. Mwizukulu mgikuru

    JamiiForums Tanzania Vijana wa Dar wananiita mshua

    Maana ya mshua ni nini wakuu?....kila angle ninayopita naitwa mshua, au ninaonekana njaa kali...
Back
Top Bottom