Hawa ndio wanaorushia watu mapepo kisha wanawaambia wakawaombee ili wawape hela, serikali iingilie kati swala hili, la sivyo wananchi wataibiwa Sana'a, kumbe kikundi cha watu wachache kinapiga hela kwa kutengenezea watu matatizo,
Mgonjwa akipigwa rufaa kwenda India ni sawa na ndio mwisho wake, gonjwa linalomsibu halitibiki bongo, tumuombee kiongozi shupavu apone haraka aje apige kazi ya kujenga nchi yetu nzuri
Karibu Mzee upate moja ya moto, wazee wenzako wamelala , wewe uko jamii forum unachambana na vijana kuwa makini Mzee, tunakutegemea Sanaa kwenye ushauri ( wazee ni benk ya busaraz), enzi zenu smartphone hazikuwepo eee???.?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.