Recent content by mwitamarwa

  1. M

    Wastara Kikaangoni EATV, aibua mapya ya Mange Kimambi, Ali Kiba kumpa msaada na hasimu wake kumnyima

    Bongo amesemaje kuhusu wao??, ache kulalama ,kuna wa tz wako wana shida sana lakini wanalilia ndani kwa ndani
  2. M

    CHADEMA yazipelekea barua balozi za Marekani na Ujerumani kuhusu tuhuma za Musiba kwamba zinaihujumu Tanzania

    Acha kubwabwaja mkuu, taarifa yeyote hata iwe ya kichaa lazima ifanyiwe kazi na system za interegensia
  3. M

    Kuombewa na mtumishi wa Mungu GeorDavie ni laki moja kwa kila mtu

    Hawa ndio wanaorushia watu mapepo kisha wanawaambia wakawaombee ili wawape hela, serikali iingilie kati swala hili, la sivyo wananchi wataibiwa Sana'a, kumbe kikundi cha watu wachache kinapiga hela kwa kutengenezea watu matatizo,
  4. M

    Serikali ya China na Kanisa Katoliki

    Pumba kabisa, watu wakikosaga cha kufanya huwa wanaandika maharage yaliyochacha
  5. M

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai ni mgonjwa anatibiwa India! Tumuombee

    Mgonjwa akipigwa rufaa kwenda India ni sawa na ndio mwisho wake, gonjwa linalomsibu halitibiki bongo, tumuombee kiongozi shupavu apone haraka aje apige kazi ya kujenga nchi yetu nzuri
  6. M

    Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

    Acha uongo, labda unazungumzia TISS ule mfumo wa benk kuu ,
  7. M

    Kwanini Wanawake wa siku hizi hawakati Viuno Vitandani hadi walazimishwe?

    Mkuu kama una kibamia usitarajie demu akatike kiuno, na wao k siku hizi zinekuwa mabwawa kwa kujisaga na vidole kwa hiyo ngoma daroooo hapo
  8. M

    Video: Azimia jukwaani baada ya kutumbuliwa na Makonda

    Karibu Mzee upate moja ya moto, wazee wenzako wamelala , wewe uko jamii forum unachambana na vijana kuwa makini Mzee, tunakutegemea Sanaa kwenye ushauri ( wazee ni benk ya busaraz), enzi zenu smartphone hazikuwepo eee???.?
  9. M

    Video: Azimia jukwaani baada ya kutumbuliwa na Makonda

    Shule gani hiyo unaweza kutoa mkuu? Mbona unaonekana mtu mzima ulieenda kiumri lakini akili zina drop down,
  10. M

    Video: Azimia jukwaani baada ya kutumbuliwa na Makonda

    Mapovu ya nini mkuu?, mbona una tabia za kike mkuu? ,
  11. M

    Video: Azimia jukwaani baada ya kutumbuliwa na Makonda

    Tofautisha kati ya Takwimu na statistics, Takwimu na namba, fani za wengine usiwe unaparamia mkuu
  12. M

    Video: Azimia jukwaani baada ya kutumbuliwa na Makonda

    Wewe unajua nini maana ya Takwimu ( statistics)????, sema namba na sio Takwimu
  13. M

    Nape: Usalama wa Taifa hausaidii nchi, wamekalia kusikiliza simu za watu

    Una uhakika na ulichoandika???? ,
Back
Top Bottom