Recent content by MWINZA

  1. M

    Sakata la Escrow: Star TV wametumwa na nani?

    Hata wasemaje tumeshamjua nani mwizi na nani tumbiri.
  2. M

    Pinda afunguka sakata la Escrow

    Pinda anasema watanzania watapewa taarifa sahihi kuhusu escrow muda ukifika! Anasubiri nini kutoa tarifa hiyo? bwawa limeelemewa na maji yanataka kuvunja bwawa eti anasubiri muda. Au ndo kusubiri uchakachuaji wa taarifa ya CAG?
  3. M

    Mateo Qaresi: CCM hakuna anayefaa kuwa rais

    Alichosema ni sahihi kabisa ila akumbuke alipokuwa kiongozi wa umma kama alitekereza hayo ayasemayo. Nakumbuka akiwa RC wa mbeya aliwai tembelea kijijini kwetu sijui alikuwa amekunywa ama vipi mana alipiga usingizi toka mwazo mwa mkutano mpaka mwisho. Kali zaidi ni pale lisala iliposomwa akiwa...
  4. M

    JAJA ajiondoa rasmi Yanga, EMERSON achukua nafasi yake

    Ila bongo bwana kila secta ovyo si siasa si mpira! Jaja alipamba sana kurasa za mbele magazeti kwamba ni tishio. Leo tunaambiwa eti matatizo ya kifamilia halafu bado tena tunaletewa garasa lingine na huyuhuyu maximo nasi hatushtuki kwamba watu wanakuja kupiga pesa kisha wanasepa. Tuondoe mawazo...
  5. M

    Prof. Muhongo: Sijiuzulu sakata la Escrow vinginevyo ardhi ya Tanzania itatikisika

    Ujinga wa muhongo ni pale anapodhani yeye ndo genius kuliko watanzania wote about 50 milion! Yeye ni nani hadi nchi itikisike? Aende zake huko na hakitikisiki kitu hapa ila kung'olewa lazima ang'olewe tu. ***** zake!
  6. M

    Ni gharika kwa watu zaidi ya 50 sakata la Escrow - Mafisadi wa IPTL kuanikwa Nov 26

    Inauma kweli. Watu wanakufa kwa kukosa dawa, watu wanakimbia kaya kisa elfu 10 ya maabara, watoto wanakaa chini kisa madawati hakuna halafu watu wanakwapua 321.2 bilion halafu tunawatetea. jamani akina simiyu yetu, Ifweero, lizabon, litz1 na wengine wa sampuli hiyo ebu tutetee watanzania wenzetu...
  7. M

    Serikali imejipanga kuwa na Maabara au wameamua kuongeza Vyumba vya Madarasa?

    Ninapingana nawe kidogo ndugu. Aichokifanya jk ni kuwapa wananchi mzigo usio wao. kuna maeneo watu huishi kwa mlo mmoja kwa siku na wanalaimishwa kuchangia 10000. Wajibu wa mwananchi ni kulipa kodi jambo ambalo wanalifanya. suala la maabara ni la serikali kwa kutumia kodi za wananchi. Tatizo la...
  8. M

    Kwanini Tanzania ni mwiko kumwambia Rais Jiuzulu hata kama kavunja Katiba?

    Bila kumung'unya maneno rais JK alitakiwa asigombee hata urais mwaka 2005 mana kama waziri wa mambo ya nje alihusika moja kwa moja na kashfa ya Rada bila kusahau ununuzi wa ndege ya rais wenye utata. Bila kuishia hapo likaja sakata la RICHMOND ambalo JK alitakiwa moja kwa moja awajibishwe tena...
  9. M

    Kuelekea kwenye Mkutano wa CCM Vijibweni Kigamboni, kila bodaboda kupewa tsh. 15,000

    CCM bila kukodi wapambe na washangiliaji hawawezi fanya mkutano. Hao boda boda wameenda kuganga njaa tu lakini moyoni sio kijani kabisaaa! Ukosefu wa elimu ya siasa ni mtaji kwa ccm ndo mana hupenda sana kuwatumia bodaboda.
  10. M

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Pamoja sana Chelsea fans!
  11. M

    Arsenal vs Man United, 22 Nov 2014

    Ningependa iwe droo. mi chama la Ze bruz mabingwa 2014/15
  12. M

    Bungeni: Maswali ya Papo kwa Papo ya Alhamisi ya 20 Nov, 2014

    Mbona ndugu unaonekana kushadidia mambo ya ujinga ujinga sana? Kuwa CCM ndo kunakufanya ushindwe kufikiria nje ya box? Kama hawatapata wapiga kura kwanini uweweseke na CDM? Hata kama wewe una maslahi na serikali hii, je vp ndugu zako? kijijini kwenu au wilaya yako? Ebu tushirikiane tuwang'oe...
  13. M

    Manchester United shirts BANNED from church in Tanzania

    Kwahiyo nikitinga jerse yangu ya ze bluz naruhusiwa! teh teh teh teh! Man u kazi kwenu!
  14. M

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Asante kwa kunikumbusha mkuu. Ni kweli tuliwafunga 1 bila pale darajani kupitia kwa Drogba na pale kwao tukatoka 2 kwa 2 kwa mabao ya Ramires na Torres. Dah bao la Torres lilizima kabisa ndoto za Barca kutinga fainali. Tulikuwa pale UDOM wakati wa mechi ile kuna cafe maarufu kule Education...
Back
Top Bottom