Arsenal vs Man United, 22 Nov 2014

Arsenal vs Man United, 22 Nov 2014

a.k.a_Mimi

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2014
Posts
292
Reaction score
113
Sio sababu tuh ni shabiki wa Arsenal naona Arsenal ushindi ni 75%......kuacha Ozil, wachezaji majeruhi muhimu kurudi itaboost shambulizi Nyumbani Emirates, kama winga ya kulia Walcott, midfielder Ramsay na Striker Giroud......Man United wamekuwa mtimti miaka miwili ila nashkuru Falcao Kuwa nje licha wapo akina Di Maria, RVP, Rooney n.k.... Nadhani ni 3-1win for Arsenal
 
Mpira mzuri ni wa Arsenal na Barca ulaya Hilo twalitambua, licha ta disappointments twachechemea....kuna ni mzunguko tuh kuna timu zilikuwa tishio zimepotea kwenye ramani....
 
Mpira mzuri ni wa Arsenal na Barca ulaya Hilo twalitambua, licha ta disappointments twachechemea....kuna ni mzunguko tuh kuna timu zilikuwa tishio zimepotea kwenye ramani....
We endelea kupenda vyanga twala, wenzako tuna usaka ubingwa.
 
hiyo game ni draw , au arsenal kufungwa . mimi ni shabiki wa chelsea mabingwa msimu huu.
 
Mashabiki wanalipa £60-£150+ kuangalia mechi lazima waone mpira mzuri, obviously Arsenal is best team compare to Manuva unaitedi.......the era is of red devils ended Fergi alipostafu
 
wapinzani wa zamani na wakongwe arsenal na man united zinakutana leo jumamosi katika mchezo muhimu kwa kila timu kushinda...timu zote zinakutana leo zikiwa na wachezaji wazuri katika department ya ushambuliaji..lakini zote zikiwa na beki tia maji tia maji..kwa wale wazee wa mizigo GG inahusika..katika miaka ya karibuni tumeshuhudia upinzani wa mechi hi ukipungua hasa baada ya arsenal kutoka kwenye upinzani na kuziacha man city na chelsea lakini hivi sasa hata man united nao wametoka kwenye upinzani
 

Attachments

  • 1416635227151.jpg
    1416635227151.jpg
    17 KB · Views: 194
  • 1416635267995.jpg
    1416635267995.jpg
    18.2 KB · Views: 180
  • 1416635287411.jpg
    1416635287411.jpg
    18 KB · Views: 172
  • 1416635306168.jpg
    1416635306168.jpg
    22.8 KB · Views: 176
  • 1416635328569.jpg
    1416635328569.jpg
    17.2 KB · Views: 176
  • 1416635353272.jpg
    1416635353272.jpg
    22.3 KB · Views: 172
  • 1416635376555.jpg
    1416635376555.jpg
    23.8 KB · Views: 176
Kila la kheri Man United,piga hao Asenane za kutosha...kuondoa kelele kitaa
..
 
Mbeya City oyee, piga hao Ndanda mpaka watie adabu,
 
Mpira mzuri ni wa Arsenal na Barca ulaya Hilo twalitambua, licha ta disappointments twachechemea....kuna ni mzunguko tuh kuna timu zilikuwa tishio zimepotea kwenye ramani....

Umenivunja moyo sana ulivyowataja Barca, mpira wa Ulaya watu wanajua kusoma michezo, sana sana style kama ile ya Barcelona watazifunga timu kama Ajax tu.
 
Umenivunja moyo sana ulivyowataja Barca, mpira wa Ulaya watu wanajua kusoma michezo, sana sana style kama ile ya Barcelona watazifunga timu kama Ajax tu.

Kumradhi Huwa unaangalia mpira au unasikiliza matokeo tuh.....Arsenal na Barca ni timu ambazo zinacheza mpira unafanana licha Barca ni 4-1-2-3 na Arsenal 4-3-1-2
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom