Pole sana ndg yangu mm mwenyewe pia imenigomea kuomba nafasi za financial management officer daraja la ii hali ya kuwa nimesoma Bcomm- Finance. Wakati huohuo tangazo linawataka watu waliosoma LLB waombe hila mm nilyesoma finance nimekataliwa nisiombe
Huwenda ikawa kweli sababu watu wengi wa mafia ukiwauliza kabila lao watakuambia wao Washirazi na kuna baadhi ya watu wanapiga yakuwa ushirazi sio kabila bali ni race
Nisaidie sasa kufahamu kuhusu ushirazi maana ss watu wa mafia huwa tunajitambulisha kama washirazi ikifika kipengele cha kabila na ndio hadi leo ukiniuliza asili yangu ntakuambia mm ni mshirazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.