When Mwendo kasi meets mwendaPole

When Mwendo kasi meets mwendaPole

mbona inajieleza yenyewe?
Kwa kukusaidia tu. Kama unaishi mikoani au gongo la mboto hutajua chochote. Mabasi haya yananjia zake maalum gari zingine haziruhusiwi. Ficha upumbavu wako.
 
Kwa kukusaidia tu. Kama unaishi mikoani au gongo la mboto hutajua chochote. Mabasi haya yananjia zake maalum gari zingine haziruhusiwi. Ficha upumbavu wako.
wewe ndio pumbavu. tatizo una macho lakini hauoni. hujiulizi kwa nini yapo perpendicular
 
nao hao wa mwendo kasi wafuate sheria. maana wanaendesha utadhania ni emmergcy vehicle.
na sie bado ustaarabu wa kupishana hasa Dar haupo kabisa. twagombea barabra kama kitoweo
Mwendokasi wanaendesha kama wako wenyewe barabarani.......kisa wana njia zao......Dar sio porini......
 
Haya magari mpaka mwaka unaisha na mradi utakua umesimama. Vijana makond mtarudi barabarani kama kawaida. Asanteni kwa kuja na tuzidi kuombeana uzima
 
Nimesema wewe ni juha. Ndio maana kunataa barabarani. Au umezoea kuendesha punda?

Tumia hata akili ya kujisaidia japo kidogo.
Ficha upumbavu wako. Wewe ni mbumbumbu.
any way matatizo ya kukremisha.
 
w
Kwa kukusaidia tu. Kama unaishi mikoani au gongo la mboto hutajua chochote. Mabasi haya yananjia zake maalum gari zingine haziruhusiwi. Ficha upumbavu wako.
wee kweli ziro brain alafu unajifanya unajua kumbe umekalili tu hao wa mwendo kas na wao inatakiwa wafatishe sheria za alama barabaran sasa hapo uyo mwenye bus taa zilimruhusu kupita na uyo wa mwendo kas taa zilimzuia ila kwakua kavuta bangi ndo tatzo ilo
 
Magari Ni ya Mwendo Kasi ukiliona linakuja kwa mwendo Kasi Basi lipishe .
 
0ab6a0ebfc8bfae1d83eab0914df777f.jpg
1464941337068.jpg
1464941350804.jpg
1464941366082.jpg
1464941431288.jpg


Mjiandae mnaojifanya mnapenda shortcut, mlifikili utani
 
Wadau kuna operation jiji zima kwa wanaotanua/wanaopita service road na Mwendo kasi. Kuweni makini.
RTO wa kinondoni anakamata yeye mwenyewe, ukidakwa unalala lock up na kesho yake Mahakamani. Ujue ukikamatwa HAKUNA DHAMANA POLISI.
 
Waafrika bhana jamaa mweusi kama ugolo lkn anajita Mshirazi, kwa wasiojua Washirazi ni watu ktk Irani kama Rostam Aziz waliohamia Zanzibar zamani sana, sasa wewe niga na Uirani wapi na wapi?? Hivi huyo jamaa akienda irani akawaambia wa Irani kwamba yeye anatoka Irani watamuonaje?? hivi ni nani alituloga jamani??!
Sisi Waafrika kweli ni ngozi ya tako yaani ili mradi aukane Uafrika wake tu atasema chochote kile ndiyo ya akina maalimu Seif mtu mweusi kama ugolo lkn kutwa kujiita Mwarabu wakati akienda Saudi watamwita (Seif) abdi maana yake mtumwa!


77f64bd3c17abed1456333ffac162a36.jpg
Washirazi wa tanzania especially wa unguja, pemba na mafia wao ni machotara tu bali sio wale wenyewe kutokana na kizazi ndio kinaishia hivyo
 
Back
Top Bottom