Recent content by Mwikizu wa nyamswa

  1. Mwikizu wa nyamswa

    Mwanangu Ally K wa ilala hauoni aibu kuishi kwa wazazi wako hapo maskani

    Nasema hivi siwezi kutoka kuwaacha wazazi wangu mpaka kifo kitutenganishe
  2. Mwikizu wa nyamswa

    Hizi mada za mahusiano mitandaoni tuwe na Tahadhari nazo

    Kumbe ni kiarabu kile dah! Nimesumbuka sana kusoma
  3. Mwikizu wa nyamswa

    Kwa situation ambayo napitia, hakika uchawi upo

    Mkuu nimeona nyota yako..na Roho mtakatifu ananiambia kuwa unaweza kumiliki majumba makali na mali pindi tu utakaposahau joto la mbususu na mshahara wako wa mwezi huu utume kwangu nikutakase mkuu hakuna mchawi wala nini ila ni hao wanawake unaowatumia mara kwa mara huko ughaibuni sema ameen
  4. Mwikizu wa nyamswa

    Hizi mada za mahusiano mitandaoni tuwe na Tahadhari nazo

    Ahsante kwa ushauri ila ningependa niongezee kusema Ngono ndio ilimleta hata mtoa mada bila ngono mtoa mada asingeposti huu upumbavu ila mtoa maana ameniongezea msamiati mpya "ni mwendo wa ufusika tu"
  5. Mwikizu wa nyamswa

    Narudia tena, zinaa zitawamaliza vijana

    Watu wanabuni kila siku mbinu za kuunganisha makojoleo bila athari yoyote lakini wapi! Mbususu haijawahi acha mtu salama
  6. Mwikizu wa nyamswa

    Masharti gani ya ajabu umewahi kupewa na Mwenye Nyumba wako?

    Lakini siunajua kuroga mkuu hata kama umeacha
  7. Mwikizu wa nyamswa

    Masharti gani ya ajabu umewahi kupewa na Mwenye Nyumba wako?

    Nilipokuwa nimepanga Mkoani Mwanza Baba mwenye nyumba alinipa sharti la kuoa kabla kodi ya mwezi mmoja haijakamilika maana nililipia miezi sita, basi mwezi ulipokamilika nikawa bado sina mke akataka kunitimua nikamwambia anirudishie kodi nikatafute chumba sehemu nyingine pia anipe siku tatu za...
Back
Top Bottom