Mkuu nimeona nyota yako..na Roho mtakatifu ananiambia kuwa unaweza kumiliki majumba makali na mali pindi tu utakaposahau joto la mbususu na mshahara wako wa mwezi huu utume kwangu nikutakase mkuu
hakuna mchawi wala nini ila ni hao wanawake unaowatumia mara kwa mara huko ughaibuni sema ameen
Ahsante kwa ushauri ila ningependa niongezee kusema
Ngono ndio ilimleta hata mtoa mada bila ngono mtoa mada asingeposti huu upumbavu
ila mtoa maana ameniongezea msamiati mpya "ni mwendo wa ufusika tu"
Nilipokuwa nimepanga Mkoani Mwanza Baba mwenye nyumba alinipa sharti la kuoa kabla kodi ya mwezi mmoja haijakamilika maana nililipia miezi sita, basi mwezi ulipokamilika nikawa bado sina mke akataka kunitimua nikamwambia anirudishie kodi nikatafute chumba sehemu nyingine pia anipe siku tatu za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.