Yuko sahihi ni kiazi hata wazungu wanaita 'air potato'. Ni sahihi vinaliwa na vina radha inakaribiana sana na viazi wa mviringo Angalia hapo utapata maana yake halisi. Muwe na siku njema .
Usidanganyike na majina. Nenda kasome Civil Engineering kwa sababu moja tu. Angalia mtaaani kama kuna Civil engineer yupo mtaani hana kazi. lakini ho wa Geomatics wengi tu ajira bado ni tatizo kubwa.
Mnaoitetea ccm hii ya mlango kwa mlango usiku ina maana gani. Kampeni za usiku mnasemaje. CDM chopa tatu walichotumia kinaeleweka je nyie mlichotumia usiku mlango kwa mlango ni kiasi gani? naomba jibu.
Hivi kama viongozi wa chadema no wakatoliki basi INA maana ccm no waislam, acheni unafiki nyie ndio wadini wakubwa. Unafiki ni mbaya sana hasa unapoingiza swala LA udini kwenye siasa. Pole sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.