Kura za Dr. Magufuli dhidi ya Lowassa

Kura za Dr. Magufuli dhidi ya Lowassa

CCM ina wanachama rasmi waliojiandikisha kupiga kura 14,566,000

Mwanzo mlisema mnamtaji wa wanachama milioni 5, ghafla mna wanachama mara tatu zaidi..duh!

Dead end for ccm come October 25, 2015

ccm wanachama hats milioni mbili hazifiki
 
Join Date : 21st September 2015
Posts : 84
Rep Power : 321
Likes Received36
Likes Given11
 
bao la mkono mwaka huu hamna kweli ccm tumewashika pabaya
 
Kama Magufuli ana mtaji wa kura zote hizo huh uchizi wa kupiga pushups majukwaani unatoka wapi?

wewe ndo chizi....kupika pushap wewe unadhani ndo uchizi.......vipi umewahi enda eodibya vichaa ukakuta wanapiga pushap?.....huko uwa kumejaa matusi na vurugu kuongea bila mpangilio......Ata OBAMA aliwai piga push-up kwenye kampain huko TEXAS......hayo ni mazoez wala cio uchizi
 
imejipanga kwa wizi na mabomu kuwalipua wananchi wake wasio na hatia
 
imejipanga kwa wizi wa kura, rushwa na mabomu; hapa rujewa vijana ccm waliokuwa wakitoa rushwa usiku wa kuamkia tar, 24/10/2015 wamepata kipigo cha mbwa mwizi hivi sasa wanaozea hospitali na kuugulia maumviu ya maovu yao
 
Wakati Ukawa wakishindwa hata kuandaa mikutano ya Lowassa CCM kwao walikuwa na mtandao hatari kupitia timu na clubs kibao ..bajaji, tumestuka, vyuo vikuu n.k hawa wrote walikuwa kwenye roots wakikandamiza katika mikoa yote na kata na vitongoji vyote sasa mtu unayeshabikia kelele za wanywa viroba tu basi tulia unyolewe
 
Kama Magufuli ana mtaji wa kura zote hizo huh uchizi wa kupiga pushups majukwaani unatoka wapi?

Ni ukakamavu wake tu hata Obama rais wa dunia alipiga usiumie sana mwambie ma mvi na yy achuchumae tu halafu utanijuza kitakacho fuata
 
​Watanzania wengi leo wanajikuta wanashangilia bila kujua msingi wa Ushindi wa uchaguzi ni upi.

LOWASA
  • Lowasa anapata vikundi vya kumshangilia kwa kuwatumia wafuatao
  • Mzee Chizii (Mwizi wa Kura na mjanja wa kukusanya mikutano)
  • Gwajima (Kazi zake kwa sasa anafanyia Nigeria, ambapo Siku ya Jumapili hatoweza kufanya anayoyafanya sasa, kwani hata kanisani kwake hafanyi miujiza yoyote Jumapili)
  • Patel (wanagawa hela za watakaoigiza kuzimia, kudeki barabara nk)

DR. JOHN POMBE MAGUFULI
  • CCM ina wanachama rasmi waliojiandikisha kupiga kura 14,566,000
  • MAGUFULI Anafanya mikutano mikubwa wilaya zote nchi nzima
  • Mama Samia Sululu anafanya mikutano wilaya zote nchini
  • Jumuiya za chama (UWT, UVCCM, JUMUIYA YA WAZAZI) zinafanya kampeni kila kata
  • Magufuli club inafanya kampeni kila kata nchi nzima kila Club ina vijana wasiopungua 80 kila kata
  • Kampeni ya Mama Ongea na mwanao inapita wilaya zote nchi nzima
  • Kampeni ya timu Bajaji inapita mpaka majumbani kwa watu.
  • Watu wengi UKAWA wanamkubali MAGUFULI kuliko Lowasa


KWA KAMPENI ZA NAMNA HII NAMUONA MAGUFULI AKISHINDA KWA ASILIMIA NYINGI.
USIPOTEZE KURA YAKO
PIGA KWA MAGUFULI

Wewe naona hujui hasira waliokuwa nazo watu wewe. Uta shangaa atavyo angushwa
 
​Watanzania wengi leo wanajikuta wanashangilia bila kujua msingi wa Ushindi wa uchaguzi ni upi.

LOWASA
  • Lowasa anapata vikundi vya kumshangilia kwa kuwatumia wafuatao
  • Mzee Chizii (Mwizi wa Kura na mjanja wa kukusanya mikutano)
  • Gwajima (Kazi zake kwa sasa anafanyia Nigeria, ambapo Siku ya Jumapili hatoweza kufanya anayoyafanya sasa, kwani hata kanisani kwake hafanyi miujiza yoyote Jumapili)
  • Patel (wanagawa hela za watakaoigiza kuzimia, kudeki barabara nk)

DR. JOHN POMBE MAGUFULI
  • CCM ina wanachama rasmi waliojiandikisha kupiga kura 14,566,000
  • MAGUFULI Anafanya mikutano mikubwa wilaya zote nchi nzima
  • Mama Samia Sululu anafanya mikutano wilaya zote nchini
  • Jumuiya za chama (UWT, UVCCM, JUMUIYA YA WAZAZI) zinafanya kampeni kila kata
  • Magufuli club inafanya kampeni kila kata nchi nzima kila Club ina vijana wasiopungua 80 kila kata
  • Kampeni ya Mama Ongea na mwanao inapita wilaya zote nchi nzima
  • Kampeni ya timu Bajaji inapita mpaka majumbani kwa watu.
  • Watu wengi UKAWA wanamkubali MAGUFULI kuliko Lowasa


KWA KAMPENI ZA NAMNA HII NAMUONA MAGUFULI AKISHINDA KWA ASILIMIA NYINGI.
USIPOTEZE KURA YAKO
PIGA KWA MAGUFULI
Kulikua kuna haja gani ya kutafuta bughudha ya masanduku ya kura fake?
 
Kampeni ziliisha jana saa 12 jioni.kufanya kampeni sasa ni makosa kisheria.leo ni kuchinja kimyakimya.
 
​Watanzania wengi leo wanajikuta wanashangilia bila kujua msingi wa Ushindi wa uchaguzi ni upi.

LOWASA
  • Lowasa anapata vikundi vya kumshangilia kwa kuwatumia wafuatao
  • Mzee Chizii (Mwizi wa Kura na mjanja wa kukusanya mikutano)
  • Gwajima (Kazi zake kwa sasa anafanyia Nigeria, ambapo Siku ya Jumapili hatoweza kufanya anayoyafanya sasa, kwani hata kanisani kwake hafanyi miujiza yoyote Jumapili)
  • Patel (wanagawa hela za watakaoigiza kuzimia, kudeki barabara nk)

DR. JOHN POMBE MAGUFULI
  • CCM ina wanachama rasmi waliojiandikisha kupiga kura 14,566,000
  • MAGUFULI Anafanya mikutano mikubwa wilaya zote nchi nzima
  • Mama Samia Sululu anafanya mikutano wilaya zote nchini
  • Jumuiya za chama (UWT, UVCCM, JUMUIYA YA WAZAZI) zinafanya kampeni kila kata
  • Magufuli club inafanya kampeni kila kata nchi nzima kila Club ina vijana wasiopungua 80 kila kata
  • Kampeni ya Mama Ongea na mwanao inapita wilaya zote nchi nzima
  • Kampeni ya timu Bajaji inapita mpaka majumbani kwa watu.
  • Watu wengi UKAWA wanamkubali MAGUFULI kuliko Lowasa


KWA KAMPENI ZA NAMNA HII NAMUONA MAGUFULI AKISHINDA KWA ASILIMIA NYINGI.
USIPOTEZE KURA YAKO
PIGA KWA MAGUFULI

sasa wewe una uhakika wa magufuri kushinda unaendelea kupiga kampeni mjinga kabisa wewe
 
Back
Top Bottom