Kama yuko smart na anataka ARDHI akasome BE(BUILDING ECONOMICS) ana pia azingatie sana studio akiwa mwaka wa 1&2 ili ajue kudesign... Huku mtaani sasa hivi wanahitajika multpurpose people ukiwa qs na kujua kudesign ni deal sana,unajiajiri kiurahisi kabisa coz unakuwa na uwezo wa kutengeza boq...
Mm kama mwanafunz kutoka chuo kikuu ardhi,nampongeza sana bwana daniel onyango kuwa rais kwa mwaka 2015/2016....
kwanza ana vigezo,uwezo amefanya meng akiwa kama wazir,tuna imani nae
hawa wanaleta hiz picha wana lengo la kumchafua tuu,
mm nashangaa wanaosema amepandikizwa kwan kupiga picha na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.