Interview ni tar 24 julyWakuu , kuna zile nafasi za kazi Shirika la Posta Walitangaza mwezi uliopita, na deadline ilikua tareh 27 June .Kuna yeyote mwenye Update ya chochote? kama waliisha itwa?,
Tusije kuwa tunasubiri kwenye Hamna jamani
Mimi nimetumiwa email pamoja na kupigiwa cmSorry walijulishwa kwa simu au walitoa majina mkuu tafadhari!