Window7
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 4,094
- 3,020
Hahahaha endelea kusubiri mkuu.Kama kuna mlioitwa kimya kimya ktk usahili tujuzane maana si kwa ukimya huu,au wanatupeleleza tuliotuma maombi kimyakimya,nyumba kwa nyumba
Hahahaha endelea kusubiri mkuu.Kama kuna mlioitwa kimya kimya ktk usahili tujuzane maana si kwa ukimya huu,au wanatupeleleza tuliotuma maombi kimyakimya,nyumba kwa nyumba
Interview ni tar 26 juneHahahaha endelea kusubiri mkuu.
Interview ni tar 26 juneHahahaha endelea kusubiri mkuu.
wekeni hapa hayo majina tuyaoneee...Interview ni tar 26 june
Wametuma emailwekeni hapa hayo majina tuyaoneee...
sawa mkuu....Wametuma email
Hivi walitangaza account technician na assistnt account si ndio maana naona account technician ni tar 20.Assistant A/C tarehe 19
yeah... naona hawa wamekuja na kautaratibu kao... sema... sijajua kila kitu kina isha siku hiyo hiyo au niaje...Hivi walitangaza account technician na assistnt account si ndio maana naona account technician ni tar 20.
wiki hii nadhan ndo wataanza kuita watu kazinkuna yeyote aliyepigiwa simu na kuitwa kazini?
Ulipga kada gani?wiki hii nadhan ndo wataanza kuita watu kazin
PouwahCIVIL TECH