Recent content by mweusitii

  1. M

    Japhet Kaseba V/S Thomas Mashali

    Kwa mwenye matokeo ya pambano lao atujuze wanajamvi
  2. M

    Nahitaji mume..

    watakuja subiri.kazi kwako kuchambua pumba na mchele
  3. M

    Mke wa kuolewa anahitajika kwa wanaoishi dar tu

    Ina maana akiwa sumbawanga hana nafasi kwako
  4. M

    Nahitaji mke wa kuoa

    Haya kinadada kazi kwenu
  5. M

    Natafuta mchumba

    Usijali mama watakuja tu
  6. M

    Thomas Mashari kufuta zama za utawala wa Francis Cheka leo?

    unamaanisha mashali alizimia ulingoni?
  7. M

    Nipo serious kwa 100%(natafuta mume wa maisha)

    mbona wahaya mnawabagua hivyo,wana kasoro gani?
  8. M

    Simuoni nimtakae

    vuta subira na usikate tamaa mpendwa,wa kwako wa maisha yu njiani aja.cha msingi endeleza maombi utaona muujiza
  9. M

    Natafuta mke mwema

    ziwa victoria? ina maana ni jini?
  10. M

    Natafuta Mwanaume Mchaga aliyechelewa kuoa(40-46 years)

    hakuna dhambi mbaya kama dhambi ya ukabila,kwanini awe mchagga?
  11. M

    Natafuta mke wakuoa

    kama unatumia hivyo vitu utakimbiza wengi,,.,dompo?
  12. M

    Natafuta mke muislam

    [Unatafuta mke au unatafuta mchumba aje kua mke wako?] natafuta mchumba aje kuwa mke wangu
  13. M

    Natafuta mke muislam

    (Akiwa na mimba je?) mmmmmh...itakuwa ngumu kumeza
  14. M

    Natafuta mke muislam

    Nilizaa mtoto enzi za ujana,.shortly cjawahi kuoa kwa sababu anuai,ndo maana sasa naona ndo muda sahihi wa kutafuta.naamini jukwaa hili ndo mahala pake,inshallah
  15. M

    Je, Unafaa kuwa Mume? Ingia Hapa Kisha Jipimie

    Kama bado hujampata nipigie 0765223226
Back
Top Bottom