Natafuta mke muislam

Natafuta mke muislam

Nilizaa mtoto enzi za ujana,.shortly cjawahi kuoa kwa sababu anuai,ndo maana sasa naona ndo muda sahihi wa kutafuta.naamini jukwaa hili ndo mahala pake,inshallah
 
[Unatafuta mke au unatafuta mchumba aje kua mke wako?]

natafuta mchumba aje kuwa mke wangu
 
Ningejiingiza ila ile tabia yenu ya kuoa bandle of women ndo inanikwamisha.
 
Kuna mmoja yupo hapo Nigeria nadhani anakufaa na ana sifa zote ulizozitaja anaitwa AMINA LAWAAL
 
Mwari wetu, Chance hiyo !! je tumtoze mahari n ngombe wangapi? HAKI TENA nakutakia kheyri !
 
haya wadada jitoseni,kawa muwazi i hope you wont break his heart:nono:
 
Kuna mmoja yupo hapo Nigeria nadhani anakufaa na ana sifa zote ulizozitaja anaitwa AMINA LAWAAL na anaendana na ile sura yenu 178 KUTIBAHALEY KUM IL KISASI

Hii sasa ni chokochoko na dhihaka kwa dini za wenzenu.. U should grow up.
 
Umri wangu ni miaka 36 elimu yangu ni degree,kazi ni mhasibu serikalini.natafuta mke kabila lolote ambaye ni muislam mwenye elimu kuanzia form iv na ajira serikalini au kampuni.akiwa na mtoto mmoja sio mbaya.
Aliye tayari aweke nambake ntampigia
Tangazo la ajira kwa wanawake wa kiislamu.Kwani nafasi yako kama mwanaume umeipoteza?najua huko unakoishi kuna mabinti kibao, au mdomo umejaa zege kiasi kwamba unashindwa kuongea nao mpaka unaweka tangazo?
 
. ukia unataka kitu hasa kuanzisha mausiano ni vzr kua muwazi kidogo, wewe miaka 36 uliishije mkeo amekufa? km kafa kwa ugonjwa pia ni vzr ukasema chanzo cha kifo cha huyo mwenzio usije kua unataka wa kufa nae na km hukuwa nae kwa nn?



cc kaka jambazi

Mkuu mi nna miaka 40 lakini sijabahatika kupata wa kunipenda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom