Nipo chuo fran hivi..nimetenga bajeti tsh laki tano badara ya kununua laptop natak ninunue simu ambayo nitweza itumia kwa matmizi mbalimbali mf kusoma pdf..naomba kufahamu simu gani naweza nunua kwa ajili yamatumizi ya mwanachuo.
Nimechimbisha kisima kwa mkono..nipo maeneo ya pwani..lakin huu n mwezi wa pili maji yanayitoka yanatoka yakiwa na mchanga laini sana..na kufanya maji yasiwe meupe na mazuri kwa matumizi ya kunywa na kupikia..je tatzo hilo husababishwa na nini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.