Recent content by mwepesi

  1. mwepesi

    Kiwanda cha nguo (Tshirt kwa hapa bongo)

    Kiwanda nnachokamini kipo morogogo njia kama unaelekea iringa..hapo utapata nguo za quarity sana
  2. mwepesi

    Dream League Soccer Special Thread

    Game lipi la mpira unaeza tumia zaidi ya dakika 30 unakipiga?
  3. mwepesi

    Ni mashine gani ambayo ukiipata itafungua njia zako za kibiashara?

    Nauza mashine ya kukamua juice ya miwa..bado mpya bei chee sana nipo bagamoyo 0766127021
  4. mwepesi

    Wauza smartphone tukutane hapa

    NAUZA..SAMSUNG A21S..MALI MPYA MALI YANGU BINAFSI..NIKIKOMBOE NA MADENI..BEI TSH 350000
  5. mwepesi

    Naomba ushauri kuhusu gari ya kununua kwa mara ya kwanza

    Mie nakushauli utafute chuna inaitwa toyota fielder..tena ile ya mwaka 2006..chuma ina roho ya nyau..
  6. mwepesi

    Naomba ushauli; simu bora kwa mwanachuo

    Kwa hio najaribu kutafuta simu mbadala yenye kua na sifa like note 10..with big display..storage hata 64 sio tatzo..
  7. mwepesi

    Naomba ushauli; simu bora kwa mwanachuo

    Mkuuu nilikua ni wazo hili la kununu note 10 Samsung..ila hera haitoshi..only nina laki tano
  8. mwepesi

    Naomba ushauli; simu bora kwa mwanachuo

    Nipo chuo fran hivi..nimetenga bajeti tsh laki tano badara ya kununua laptop natak ninunue simu ambayo nitweza itumia kwa matmizi mbalimbali mf kusoma pdf..naomba kufahamu simu gani naweza nunua kwa ajili yamatumizi ya mwanachuo.
  9. mwepesi

    Tunachimba Visima na kufanya underground water survey kwa ghalama nafuu

    Nimechimbisha kisima kwa mkono..nipo maeneo ya pwani..lakin huu n mwezi wa pili maji yanayitoka yanatoka yakiwa na mchanga laini sana..na kufanya maji yasiwe meupe na mazuri kwa matumizi ya kunywa na kupikia..je tatzo hilo husababishwa na nini
  10. mwepesi

    Uzi Maalumu wa Vitabu vya maendeleo binafsi (Personal Development)

    Hio 20k ni kwa softcop au hardcopy..
  11. mwepesi

    Ujenzi Bandari ya Bagamoyo: Aliyemshauri vibaya Rais Magufuli ni nani?

    Watu mchimbe mlete mkataba tuuusome
  12. mwepesi

    Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako

    Kcampy sisi wenye samsung a21s vip hatuez pata GCAM
Back
Top Bottom