Recent content by mwenda kiborah

  1. M

    She is not my standard

    Acha hizo inamaana toka mwanzo hukujua kama unadegree wanaume wengine sifa tuu...
  2. M

    Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

    Kama jela kuzuri mpeleke mwanao.
  3. M

    Huyu dada bhana!

    Kama bado unampenda mfanyie malengo coz alikuwa mpenzi wako msaidia atajiona mjingaaa hata wadharau kama wewe.
  4. M

    Natamani Niache Kazi

    Pole ongea NA bos wako kama mwelewa atakusikiliza matatizo yako.
  5. M

    Tazama Jins aliyoivaa Leo Jackline Wolper na Kuzua Utata Mkubwa ni Full Mitego

    Wanakufa NA fashen hao ujana Maji ya moto malizia ujana.
  6. M

    Natamani kurudi Tanzania,ndugu zangu wananitisha,naomba ushauri

    Àcha woga wewe mtoto WA kiume rudi nyumbani .nyumbani ni nyumbani mkataa kwao ni mtumwa.
  7. M

    Alipata mimba, ametoa kisha akaachwaa.

    Unapatikana wapi naomba tufanye kazi wote kama hutajali no.0713658571
  8. M

    Nilielalanae Jana, leo kanijia na mumewe na mapanga mkononi

    Huo mchezo tu Kaka wanataka mtaji wajinga ndio waliao kwani raha umepata peke yako acha ujingaaaaà.
  9. M

    Hivi Dada zetu Kipi kimewakuta?? Hadi kua katika hali hii?

    Hahahahaaaaaaaaaa acha hizo mbona unatuonea jaman.
Back
Top Bottom