Tatizo kubwa lipo kwenye daraja la Mbezi mwisho,barabara iliyotengwa haipitiki vizuri,magari yanaenda taratibu sana,tatizo jingine kwa waongoza magari wameacha watu wanatanua hovyo especially wanaotoka kibaha,matokea yake magari yanayotoka Mbezi yanakuwa hayasogei.
Tangu Pasaka eneo letu lina tatizo la umeme,umeme mdogo sana,kila siku tunawapigia Tanesco kibaha emergency wanadai kurekebisha ni zaidi ya week,fridge haziwaki.Jaribuni kuwa serious na matatizo ya wateja wenu.Tunaingia hasara ya kumwaga vyakula kwa ajili ya uzembe wenu.Au Ili nalo mnasubiri...
Tanesco kibaha ni majanga sana,Tangu Pasaka eneo letu lina tatizo la umeme,umeme mdogo sana,kila siku tunawapigia wanadai kurekebisha ni zaidi ya week,fridge haziwaki.Mwenye namba ya Waziri wa Nishati msaada unitumie inbox
Ni kweli michango imekuwa Mingi sana,yaani kama mtu unatoa kama kanisa linavyotaka unaweza kukosa hata hela ya matumizi yako binafsi,kumbuka tunatakiwa kutoka zaka 10% ya kipato chako,hapo hapo kuna michango lukuki nje ya hiyo zaka,na bado kodi za serikali pia.Kiukweli ni mzigo mkubwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.