Recent content by mwemage

  1. mwemage

    Kumekucha: Mizigo yote ya DRC kupitia Mombasa Kenya, Tanzania yaendelea kusomeshwa namba

    Kuapisha unamtuma makamu wa rais unategemea nini....tulijua kabila bado rais.. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. mwemage

    Mahakama nchini Rwanda yawaachia huru Diana Rwigara na Mama yake

    RWANDAN COURT drops all charges against government critic Diane Rwigara and her mother Adeline Rwigara. Court rules not guilty of insurrection. -------- Mahakama mjini kigali imesema Mwanasiasa Diane Rwigara na Mama yake, Adeline Rwigara hawana hatia na mashtaka dhidi yao hayana msingi wowote...
  3. mwemage

    Magufuli avuruga mchoro wa Lowassa na CHADEMA!

    Ukiongelea haraka una maana gani? Magufuli katoa pongezi baada ya siku moja wakati Kagame, Kaguta na Nkurunzinza walitoa mara moja baada matokeo ya mwisho kutangazwa? Kuna kitu hakipo sawa sehemu Sent using Jamii Forums mobile app
  4. mwemage

    Tundu Lissu hafai kuwa Rais wa TLS

    Kama hujui uliza Tanganyika Lawyer Society ndo nini[emoji23][emoji23][emoji23]
  5. mwemage

    Diamond kumwekea dhamana Romy Jones na Petit man?

    Mnayempigia kelele mwenyewe keshasema barua ni fake....hahahaaa hizi team bana mpaka mkaedit barua ili kuwa sawa...
  6. mwemage

    Ofisi za AG na DPP kuna nini?

    Ongea unayoyajua
  7. mwemage

    Nani kumrithi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Mwamunyange?

    Hatuwezi wapa jeshi legelege
  8. mwemage

    Darassa akonga nyoyo za Wakenya, Mashabiki wa Muziki wamlilia akapige show Kenya

    Huu ni muda wa darasa kupiga hela....inawezekana asipate airtime kubwa kama hii...asiingie kwenye team zisizo na viwanja...meneja wake akae na mameneja waliovuka mipaka ya TZ wamweleze namna ya kupata shows huko....Rwanda wanamsubiri kwa hamu sana...a
  9. mwemage

    Ongoing projects in Dar es Salaam Tanzania East Africa 2017

    Aahhh Formula One Racing..[emoji28][emoji28][emoji28]
  10. mwemage

    Tamko la Zitto Kabwe kuhusu madeni anayodaiwa, mshahara na mali alizonazo

    NSSF wameanza lini kutoa mikopo kwa watu binafsi?
  11. mwemage

    Hivi Kati ya Kutongoza na Kutongozwa ipi kazi ngumu?

    Daah kutongoza shughuli pevu aisee....mbaya zaidi unatongoza kabla hujakubaliwa unaharibu
  12. mwemage

    Hili ndiyo Gari la mwanaume bhana!!!

    Au vitz nyekundu aka rangi ya kucha
  13. mwemage

    Hili ndiyo Gari la mwanaume bhana!!!

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Back
Top Bottom