Poteza time yakooo mkuu unafkiri kwa akili yako mkapa anashidaaa hayo yote ni kukusaidia mwenyewe tu alafu baada ya uchaguzi maisha yanaendelea tena unachofanya sasa ndicho utaendelea icho ichooo imekula kwako mkuu
Mi nashangaaa hatanwengine mnamuunga mkono kwa upuuzi anaofanyaaaaa kiukweli ni dhahiri shetani kawakalia kiongozi mkubwa ivooo kuuza kanisa kwa siasaaa hajui kama kunamaisha yanatusubr ya haki na amani zaid hata ya siasa anazotetea mchunguja kaaa kanisan kwakoo wasaidie waumini wako wamuishi...
Kwa kweli hata kanisa analoongoza sambamba na waumini wote wanaomfuata wanapotea duuu we kiongoz yakupasaaa umrudie mungu umepotea sanaaa na hunasifa ya kuitwa askofu au mchungaji kabsaaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.