Domy
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 4,700
- 1,086
Habari wakuu!
Rais mstaafu ndugu Benjamin Mkapa amejikuta akihutubia kikundi kidogo cha WanaCCM waliovaa sare za chama hicho huku wananchi wengine wakipita pembeni,
Hii ni katika mkutano wa kufunga kampeni na kumuombea kura ndugu Shitambala katika ubunge Mbeya mjini, Hii imedhihirisha CCM haina chake Mbeya.
Kwa mahudhurio haya Ndugu Magufuli na mbunge wake Shitambala watafute kazi nyingine kwani hapa Mbeya watu wameamua Rais ni Lowassa mbunge wao ni Joseph Mbilinyi(Sugu).
Rais mstaafu ndugu Benjamin Mkapa amejikuta akihutubia kikundi kidogo cha WanaCCM waliovaa sare za chama hicho huku wananchi wengine wakipita pembeni,
Hii ni katika mkutano wa kufunga kampeni na kumuombea kura ndugu Shitambala katika ubunge Mbeya mjini, Hii imedhihirisha CCM haina chake Mbeya.
Kwa mahudhurio haya Ndugu Magufuli na mbunge wake Shitambala watafute kazi nyingine kwani hapa Mbeya watu wameamua Rais ni Lowassa mbunge wao ni Joseph Mbilinyi(Sugu).