Recent content by mwekahazina

  1. M

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Natafuta Samsung Galaxy S6 edge iliyovunjika screen but everything else works.
  2. M

    Dissertation editing and assistance

    i only assist....sina za kuuza....pm for more info
  3. M

    Dissertation editing and assistance

    Nafanya editing ya dissertation for 3,000 per page. Pia naprovide assistance kwa wale ambao wanaanza au kuendelea na dissertation writing. PM for contacts.
  4. M

    Misemo ya Mpoki jamani!

    Tembo hata akonde vipi hawezi kuwa sawa na sungura
  5. M

    Sifa za wanawake/wadada wanene

    Maisha yote nimedate wanawake wanene, I can confidently say, this is WRONG, nishawahi kuwa na mmoja ambaye ni opposite na kila point hapo.
  6. M

    Hakuna malipo ya NSSF, PPF hadi umri wa kustaafu ufike!

    Ningekuwa wewe ningesema "Hii ni baraka kwa wafanyakazi wa Sekta Binafsi"
  7. M

    Hakuna malipo ya NSSF, PPF hadi umri wa kustaafu ufike!

    Jamani hiyo sheria imeshapitishwa tangu mwezi wa nne.
  8. M

    Sheria ya Mafao miaka 55, wafanyakazi wamehusishwa?

    Inaonekana Watanzania wengi tunashindwa kujua nini hasa maana ya pensheni na hifadhi ya jamii. Kwanza kwa kifupi kabisa nianze kwa kudefine hifadhi ya jamii. Hifadhi ya Jamii ni utaratibu uliowekwa unaomlinda mtu dhidi ya majanga mbalimbali ya maisha yanayopelekea kumuondolea au kumpunguzia kwa...
  9. M

    Kuhusu CV na PhD ya Dr. Slaa

    Hapa mkuu umekosea! Prof Lipumba ni one of the best professors wa Economics. Ni world renown consultant kwenye maswala yanayohusu economics, he does a lot for world bank na IMF. Kati ya wanasiasa wote nchini, yeye ndio mwenye CV iliyoenda shule. Pamoja na Dr Slaa kuwa better politician, he is...
  10. M

    Lowassa au Mwandosya kuwa Rais wa Tanzania 2015?

    Ndugu yangu siasa ni mchezo mchafu. Si mara zote unachokiona ndicho, mara nyingi inakuwa sivyo. Kwa mwendo wa utendaji wa Lowasa kwa kipindi chake cha uwaziri mkuu alikuwa tishio kubwa sana kwa bwana mkubwa aliyeiacha nchi kwenye auto pilot tena ukizingatia kwamba kilikuwa ni kipindi cha kwanza...
  11. M

    Kutoka Karimjee Hall: Mjadala juu ya Tamko la Uongozi wa Waislamu Jan 15, 2010

    Hivi kwa mwendo huu tutafika??Huoni kwamba unachochea vita vya kidini?
Back
Top Bottom