Recent content by Mwee

  1. M

    Ukweli ni kwamba Waisraeli halisi ambao ni Waebrania ni watu weusi

    Wakiwa weusi ili itusaidie nini? Sasa hao waebrania weusi wako wapi leo? Kwa hiyo mashariki ya kati yote ni Israel tu ndio walikuwa weusi? Vipindi Syria, Iraq, Saudi Arabia, Yemen, Oman, Iran, Jordan na Lebanon wao walikuwa rangi gani?
  2. M

    Mahakama yazuia Vijiji vya Ngorongoro Kufutwa

    Zimwi la linaloharibu mfumo wa mahakama hapa nchini ni Mahaka ya rufaa. Hapo serikali itakata rufaa na zuio hili utasikia limetupiliwa mbali
  3. M

    DEMOKRASIA Kwa wajinga, wasiostaarabika, Wasiokuwa wazalendo yafaa nini?

    Kwanini watumishi wa umma tu ndio waende JKT kwa lazima na sio watanzania wote? Na je, kwenda JKT ndio mtu anapata uzalendo? Hata jakaya, Chenge, walipita JKT.
  4. M

    Kenya: Waziri wa Fedha almanusura apigwe na mwananchi mwenye hasira Baada ya kusoma Bajeti na Kutoka nje kupiga picha

    Kumbe ni Kenya. Nilitaka niongeze mvinyo hapa nikidhani ni kanda ya kati Dodoma
  5. M

    Ndege zachelewesha safari kutokana na ukosefu wa Internet

    Yaani upande gari kwenda Istanbul au Dubai?
  6. M

    Afrika tutafika lini uwezo huu? Makombora yote hayo ya Iran yamefaulu kumjeruhi binti mmoja tu!

    Israel wakishaanza kujibu mapigo habari za kuua raia na haki za binadamu kuvunjwa zitashamiri humu.
  7. M

    Waalimu mnapaswa kuandamana kudai pensheni kamili, kikokotoo kwenye pensheni ni udhalim. Ni aibu kwa serikali kuwekeza kwenye vifo vya watumishi wake!

    Kwanini unawasema walimu tu wakati kikokotoo kinahusu watumishi wote? Je madaktari, askari, wahasibu nk wao hawatakiwi kuandamana?
  8. M

    Baada ya South Africa kushinda Kesi Huko ICJ nchi za Kiarabu zaanza kujipendekeza kwa Palestine, zakutana UN kujadili Hukumu!

    Baada ya taarifa hiyo ya mahakama, karibu wapalestina 200 wameuawa huko ghaza.
  9. M

    Tanesco Wilaya ya Chunya tangu Jana saa 8 mchana hadi leo asubuhi hakuna umeme!

    Sijui kisingizio ni nini sasa!! Maana kama ni mvua imenyesha kwa wingi. Mabwawa yatakuwa labda yamezidiwa maji
  10. M

    Viongozi 9 kutoka Afrika waliotawala kwa muda mrefu zaidi na bado wapo madarakani

    Rais wa Eritrea amekuwa madarakani kwa miaka 30 sasa na sio 37. Halafu hao madikteta wote ni majizi kupindukia
  11. M

    Hii tabia ya trafiki kubambika makosa ya barabarani inaumiza

    Moja kwa moja kwenye kero yangu. Kumekuwa na mtindo wa askari wa usalama barabarani kusimamisha gari hata kama huna kosa halafu wanainakiri namba ya gari na kuiandikia fine. Binafsi nimekumbana na hali hii mara mbili sasa. Mara ya Kwanza nilisimamishwa na askari kama kawaida akaomba leseni...
  12. M

    Javier Milei "The Madman" ashinda Urais wa Argentina

    Sasa Agentina na michezo si ni sawa na samaki na maji anataka kufuta wizara tena!! Wacha tuone mwisho wake
  13. M

    Tangu msimu wa 2015/2016 Simba na Yanga Mechi huisha kwa sare Mechi za round ya Kwanza.

    Huu ni msimu wa nane Simba na Yanga hakuna anayeibuka na ushindi duru ya Kwanza tangu msimu tajwa. Pengine Msimu huu mwiko huo unaweza kuvunjwa wacha tusubiri hiyo Jumapili ya Novemba 5 kama kuna timu itaibuka na ushindi. Mara zote mechi hiyo huisha kwa sare ama suluhu hata kama timu mojawapo...
  14. M

    Mafuta ya Gari kupanda tena Jumatano kwa Tsh 300 mpaka 400. Wakubwa waneemeke

    Ipande tu zaidi na zaidi ili akili zikae sawa sawa. Anaupiga mwingi sana Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom