Red giant...kajaribu kidogo, ukweli bado haujajulikana but kama walivyo wabantu wengine inasadikika walitokea niger delta as branch ya wahausa lakin sources zingine zinasema from nubian queen ndio maana wanyakyusa majina hutoka kwa mama...mf. Kilasa akizaa mtoto wa kiume ataitwa...
Wadau tu! Mimi ni mwalimu mzoefu wa masomo tajwa hapo juu,nina (B.A.ED)-UDSM. Natafuta kazi ya kufundisha A-LEVEL&O-LEVEL. Kwasasa namalizia mkataba wangu na mwajiri wangu niliyenaye!
Thanx !Perry but nadhani una ufahamu kuhusu jambo hili,mpango wangu ni kufanya m.a. applied economics lengo nifundishe higher instituitions! VP itanifaa given B.a.ni 3.8 G.P.A
Wadau mwenye ujuzi naomba tofauti iliyopo kati ya hizo course yaani Master of arts in Economics na Master of Art in Applied Economics. Pia which one is marketable?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.