Mbunge Salome Mwambu hoi jimboni Iramba Mashariki

Mbunge Salome Mwambu hoi jimboni Iramba Mashariki

Salaam wanaJF. Mbunge wa Iramba Mashariki Salome Mwambu yuko hoi jimboni kwake kwani ameshindwa kutekeleza ahadi zake alizoahidi mwaka 2010. Jimbo halina miundombinu ya uhakika kama barabara.

Barabara zipo kama palio la n'gombe na hazipitiki wakati wa masika. Afya na elimu pia ni hoi. Wananchi sasa wamejiandaa kufanya mabadiliko makubwa hapo October 2015 kwa kukifuta kabisa Chama Cha Mapinduzi na kuchagua CHADEMA kama mwokozi wao.

Pia Salome yupo hoi kiafya kutokana na maradhi mbalimbali yanayomsumbua kama UKIMWI na Kisukari.

Sasa, hilo la ugonjwa wake, una uhakika kuwa hao wa chama chako hawana magonjwa? Tujadili siasa mengine tuheshimu maadili ya uandishi na haki za watu
 
I have been there! Tatizo watu wa kule ni shule pale ccm hata waweke jiwe litashinda kwa wanyiramba ccm ndio kila kitu...wanyaturu wana msimamo
 
you mean huyu Dr.Stephen Kisui aliyekuwa Mkurugenzi wizarani pale,nae kaingia kwenye politics?halafu haya majina haya mbona alarm zinalia kichwani,..Allan Kiula...Salome Mwambu..aargh Kiranga nikumbushe bhana!

Mama mwambu alikuwa mkuu wa chuo cha ualimu Mpwapwa-Kiula namfahamu mdogo wk Dr Kiula ni mkufunzi wa chu cha udaktari cha Sengerema
 
Last edited by a moderator:
Salaam wanaJF. Mbunge wa Iramba Mashariki Salome Mwambu yuko hoi jimboni kwake kwani ameshindwa kutekeleza ahadi zake alizoahidi mwaka 2010. Jimbo halina miundombinu ya uhakika kama barabara.

Barabara zipo kama palio la n'gombe na hazipitiki wakati wa masika. Afya na elimu pia ni hoi. Wananchi sasa wamejiandaa kufanya mabadiliko makubwa hapo October 2015 kwa kukifuta kabisa Chama Cha Mapinduzi na kuchagua CHADEMA kama mwokozi wao.

Pia Salome yupo hoi kiafya kutokana na maradhi mbalimbali yanayomsumbua kama UKIMWI na Kisukari.

Umekosea Kitu Kimoja Kutaja ugonjwa wa Mtu; Ungesema ana Matatizo ya kiafya; Hata hivyo UKIMWI haumnyimi Kuchaguliwa labda useme Wananchi wamemchoka kwa utendaji mbaya.

Kwenye Swala la Ukimwi Mbona tunaambiwa ni wengi tu lakini Unashangaa miaka 5, then 10 bila shida.

Hivyo basi Mgombea Ukisema anaumwa Ukimwi ni sawa na Kumpiga teke Chura Maana Unamuongezea mwendo (Kupendwa na Kura hata za huruma atapewa).
 
I have been there! Tatizo watu wa kule ni shule pale ccm hata waweke jiwe litashinda kwa wanyiramba ccm ndio kila kitu...wanyaturu wana msimamo

hao wanyilamba ni watu wa ajabu sana,miccm huwa inawakamatia kwenye pombe aina ya Ntulu.
 
Salaam wanaJF. Mbunge wa Iramba Mashariki Salome Mwambu yuko hoi jimboni kwake kwani ameshindwa kutekeleza ahadi zake alizoahidi mwaka 2010. Jimbo halina miundombinu ya uhakika kama barabara.

Barabara zipo kama palio la n'gombe na hazipitiki wakati wa masika. Afya na elimu pia ni hoi. Wananchi sasa wamejiandaa kufanya mabadiliko makubwa hapo October 2015 kwa kukifuta kabisa Chama Cha Mapinduzi na kuchagua CHADEMA kama mwokozi wao.

Pia Salome yupo hoi kiafya kutokana na maradhi mbalimbali yanayomsumbua kama UKIMWI na Kisukari.

futa hiyo ya ukimwi na kisukali
 
Salaam wanaJF. Mbunge wa Iramba Mashariki Salome Mwambu yuko hoi jimboni kwake kwani ameshindwa kutekeleza ahadi zake alizoahidi mwaka 2010. Jimbo halina miundombinu ya uhakika kama barabara.

Barabara zipo kama palio la n'gombe na hazipitiki wakati wa masika. Afya na elimu pia ni hoi. Wananchi sasa wamejiandaa kufanya mabadiliko makubwa hapo October 2015 kwa kukifuta kabisa Chama Cha Mapinduzi na kuchagua CHADEMA kama mwokozi wao.
Mpumbavu tu wewe kuwatangaza wenzio wana ukimwi utadhani umewaambukiza wewe
 
Back
Top Bottom