Ni kweli mkuu hata Mimi niliwahi kupita hapo,niliwauliza wenyeji wa hapo wanasema kuna bwana mmoja akili yake siyo nzuri anaishi hapo ndiye hufanya kazi hiyo kwa mda mrefu sasa na imegeuka Kuwa kivutio
Unachosema ni kweli,lakini lazima tukubaliane kwamba ndoa ina umuhimu wake kwa Mwenye kujua na kuthamini maana yake.Ndoa inamstiri mtu Mwenye maadili hasa ya dini.
Umesema kweli mkuu,wanajitahidi kweli kutetea,lakini ukweli ni kwamba viongozi Wa Catholic wamezidi kwa uzinzi na kulawiti,wakiambiwa oeni tena ikibidi zaidi ya mmoja,wanajifanya kupinga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.