tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 12,072
- 16,624
Bwana Yesu asifiwe watanganyika wenzangu.
Ishu yangu iko hivi, nahisi kama kuna jambo haliniendei sawa katika suala zima la mapenzi. Kama mjuavyo ulimwengu wa sasa umeharibika so watu inabidi tutumie muda mrefu kufanya vetting ya wale tunaotarajia wawe wenza wa maisha yetu.
Sasa mie kila binti ninaekutana nae nikampenda halafu nkamfanyia vetting na kujiridhisha kuwa in long run anafaa kuwa my wife wangu yeye lazima atanikataa tu. Mpaka sasa nishakataliwa na wawili, mmoja kanitamkia kuwa sina mvuto kwake na mwingne aliniambia wazazi wake wanataka aolewe na mnyakyusa mwenzake ilihali mie ni mkurya so akanipotezea.
Ila sasa wale mabinti ambao nawafuata kwa nia ya kuhit na run ebwana huwa wananiganda kama ruba. Wengine hadi huwa nafanya kuwakwepa tu. Sasa mpaka sasa nashindwa kujielewa nina mkosi gani maana ninapopenda na kuonyesha nia mie nakuwa sipendwi ila ninapokua nataka kupiga na kuingia mitini tu ndo napendwa balaa.
Huu utakua ni mkosi au ni nini wakuu?
Ishu yangu iko hivi, nahisi kama kuna jambo haliniendei sawa katika suala zima la mapenzi. Kama mjuavyo ulimwengu wa sasa umeharibika so watu inabidi tutumie muda mrefu kufanya vetting ya wale tunaotarajia wawe wenza wa maisha yetu.
Sasa mie kila binti ninaekutana nae nikampenda halafu nkamfanyia vetting na kujiridhisha kuwa in long run anafaa kuwa my wife wangu yeye lazima atanikataa tu. Mpaka sasa nishakataliwa na wawili, mmoja kanitamkia kuwa sina mvuto kwake na mwingne aliniambia wazazi wake wanataka aolewe na mnyakyusa mwenzake ilihali mie ni mkurya so akanipotezea.
Ila sasa wale mabinti ambao nawafuata kwa nia ya kuhit na run ebwana huwa wananiganda kama ruba. Wengine hadi huwa nafanya kuwakwepa tu. Sasa mpaka sasa nashindwa kujielewa nina mkosi gani maana ninapopenda na kuonyesha nia mie nakuwa sipendwi ila ninapokua nataka kupiga na kuingia mitini tu ndo napendwa balaa.
Huu utakua ni mkosi au ni nini wakuu?