Wanakuchanganya na requests nyingi ila siyo wote wanadeal na ww.....ni sehemu fulani hivi ya kukuconfuse and at the end of the day kuna mmoja atakuwa close2u then unaingia kwenye point
Hakuna crime yoyote u think u had recently committed or uko associated nayo kwa namna moja ama nyingine? Cos baadhi ya hizo requests ukiwauliza hao uliowaaccept watasema hawajatuma wao
Bora tufanye mambo mengine na mpira tucheze kwa afya tu. Labda walau tujaribu ndondi au tuwaache wamakonde wacheze na majoka na Diamond aimbe muziki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivyo ndivyo akili na ufahamu wetu "ulipofungwa..."
Elezea hiyo mechanism.
Ukitaka kumtetea huyu idolater aliyesema Neither God nor Satan exists, no way out zaidi ya kuelezea the so-called ORIGIN OF LIFE AND THE UNIVERSE. Yaani tiririka hapa utuoneshe chanzo cha ulimwengu na maisha yote cos...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.