Recent content by Mwasandube_

  1. M

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    😂😂😂 yule mwanamama anaitwa Enya nyimbo kuna only time na may it be
  2. M

    Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

    Wtitten inakuaga ni aptitude test ukigoogle unazipata
  3. M

    Naomba msaada kuhusiana na VHS TAPES PICTURE na STILL PICTURE NEGATIVES.

    Miaka ya 2014/2015 kuliku na jamaa nadhani maeneo ya posta akikua kama ana video libarary alikua anaweza kufanya VHS kwenda kwenye CD/flash ofisi ilkuaga pale walipo khimji wauza vitambaa sijajua kwa sasa
  4. M

    NBC bank ni benki bora Tanzania Kwa sasa

    Hisa zimenunuliwa na bank Fulani hapo mjini so basically ni Kama tawi la ile bank bila hivo ilikua ngumu kunyanyuka
  5. M

    Tunaosubiri namba E tukutane hapa

    DZB Tayari ipo bara barani
  6. M

    Tunaosubiri namba E tukutane hapa

    Naaam [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
  7. M

    Tunaosubiri namba E tukutane hapa

    Nadhan alipiga hesabu kuanzia DYU had DYZ
  8. M

    Tunaosubiri namba E tukutane hapa

    Kama namba zilizoamdikwa ubavuni mwa zile gari inarepresent idadi kamili ya gari nadhan zile gari zipo 600+
  9. M

    Tunaosubiri namba E tukutane hapa

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtanange ni mkali sanaa
  10. M

    Tunaosubiri namba E tukutane hapa

    Nimeona video Fulani GSM kaagiza howo zaidi ya 600 maybe zingeboost kidogo but kwa mwendo huu E itakuja June/July
  11. M

    Nikiwa na 1.5-2M naweza pata sound gani kali ya nyumbani ya heshima

    Hawa jamaa siwaoni tena mtandaoni walikua n vitu vya hatarii sana
  12. M

    Naomba ushauri kuhusu Mazda MPV

    Depends kwasasa kuanzia 11M hii ni ya 2009
Back
Top Bottom