Recent content by MWASA78

  1. M

    Beki Mpya Simba Aanguka Bafuni

    kwani mwanaNyamala hawa Bima ya Afya , umekariri mzee
  2. M

    Vijana Kumi wenye Uwezo wa Kuiokoa Tanzania

    post zingine bwana , nimesoma hii nimeishia kucheka tu
  3. M

    Misanya Bingi sasa ni Daktari wa Falsafa (PhD)

    umedandia Train kwa mbele , take time kusoma post za juu utajua kwanini nilimtaja Legend SOS B(Sostenes Ambakisye)
  4. M

    Misanya Bingi sasa ni Daktari wa Falsafa (PhD)

    jina lake kamili ni Sostenes Ambakisye
  5. M

    Misanya Bingi sasa ni Daktari wa Falsafa (PhD)

    DJ Rankeem (Rankeem Ramadhan Nyamka) aliishafariki na kuzikwa makaburi ya Sinza Kwa Remi karibu miaka miwili iliyopita .
  6. M

    Gazeti la Mwananchi laendeshwa kwa hasara

    huo ni uongo ! gazeti la mwanchi linauza nakala 300,000 kwa kanda ya ziwa peke yake. linauza zaidi ya nakala 250,000 nyanda za juu kusini linuza zaid ya nakala 300,000 kwa mkoa wa Dar es salaam na Pwani Tanga , Kilimanjaro na Arusha zinapelekwa nakala zaidi ya 120,000
  7. M

    RAMBO, Kijana anaekata watu mapanga usiku, anapotea kwa Nguvu za giza anapotaka kukamatwa

    Rambo ni mfala sana, aliwahi kutuvamia Bar ya Karakata kabla hujavuka reli.... Mungu mkubwa jamaaa mmoja alikua na bastola akaokoa uhai wetu baada ya kuingurumisha..... nataraji atapokea simu ya kifo shortly
  8. M

    Jambazi akamatwa Kimboka, Buguruni

    HALI imekua ya Nderemo kwa wakazi wa Majumbasita , Karakata na Stakishari kufuatia kutiwa Mbaroni kwa Jambazi wa kizazi kipya ajulikanaye kama RAMBO. KIJANA huyo ambaye amekua tishio kwa maisha ya binadamu na ustawi wa watu maeneo hayo alikamatwa katika purukushani zilizotokea Kimboka BaR...
  9. M

    Mnazionaje Ladha za Bia Siku Hizi?

    Juzi nimekunywa castle Lager , ina muhuri unaoonyesha kuwa imetokabkiwandani siku mbili nyuma yaani 48 hours.....hapo bia haiwezi kuwa imepoa kufikia kiwango cha kunywewa. ndio maana wanashauri ukitaka bia iliyoiva nenda kwenye bar ndogo zisiO na idadi kubwa ya wateja...au unywe bia IsiO...
  10. M

    Mpiganaji yupi unamkubali WWE?

    Kwanza mieleka ninmaigizo , hakuna uhasilia wowote labda wa kujazia miili
  11. M

    Mnazionaje Ladha za Bia Siku Hizi?

    Na ndio maana hata harufu ya mikojo ya walevi imepungua kunuka....
  12. M

    OILCOM Tabata Segerea mmezidi jamani!

    Point of correction. hakuna eneo la kijiografia au la kiutawala linaloitwa Tabata Segerea. Tabata ni Tabata, Segerea ni Segerea. Kata ya Tabata, Kata Ya Segerea
Back
Top Bottom