Nasikia wanawake kuanzia umri wa miaka 40 wana mapenz matamu sana so aliyetayari anitafute kwa namba 0659760575. Sifa. 1.asiwe na mme 2.awe na miaka 40 na kuendelea. 3.mwenye hela. 4.awe tayari kupima vvu cos ndom situmiagi na sijawahi. Nb. Km uko tayari tuma sms.
Habari zenu ndugu zangu wa jukwaa hili. Ombi langu ni kwamba natafuta mtu ambae anaweza kunidhamin ili niweze kusoma postgraduate ya education kwan nimegraduate procurement ana supplies lkn matumain ya kupata ajira yanazidi kupotea hivyo nataka nisome postgraduate ya education ili nipate hata ajira.
Ulilianzisha wkt huna pa kukimbilia..... Haya sasa komaaaa. Mapenz ya kugandana hayapo siku hiz ni mguu mmoja ndan mwingne nje. Usijarib kina cha maji kwa miguu yote. Mpotezeee utapata wako.
Usiogope mkuu hiyo ni furaha ya ushindi..... Hujasikia watu wanavua bukta baada ya kufunga gor wkt wa mechi. Litaisha tuu. Ila naogopa usije ukaanza na kugegeda km wanyama hasa mbwa duuuu mbona wote watakukimbia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.