Recent content by mwanza home

  1. mwanza home

    ARUSHA: Meya, wamiliki wa shule, paroko na Waandishi, wakamatwa na Polisi Shuleni, wanyimwa dhamana

    Da... magu katia njaa mpaka viongozi wake wana kula rambirambi zetu uyo mkuu wa mkoa aliziki tu. Au hana taka kula naizo za wafiwa nini.
  2. mwanza home

    Funzo: Umuhimu wa salamu kwa mlinzi wa getini

    FUNZO KUBWA SANA HILI Mwanamke mmoja alikuwa akifanya kazi katika kiwanda cha kusindika nyama. Siku moja baada ya kumaliza kazi zake pale kiwandani alienda katika chumba chenye freezer (cold room) ambako nyama zilikuwa zikihifadhiwa kukagua vitu fulani. kwa bahati mbaya wakati yupo kwenye...
  3. mwanza home

    Je, kwanini kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja au zinaa imekatazwa?

    JE KWANINI KUWA NA MPENZI ZAIDI YA MMOJA AU ZINAA IMEKATAZWA?SOMA HADI MWISHO KUJUA SABABU *KISAYANSI* Ndani ya manii mna kitu gani kitaalamu. Ndani ya manii mna vitu vikuu vinne: • PROTEIN, • ACID, • SPERM au CHROMOSOME, • VIRUS. PROTEIN: Ni aina mojawapo ya “Food Substance”...
  4. mwanza home

    Tunakopesha piki piki na bajaji kwajili ya biashara

    Vijana fursa. Sema husa huu na mkopo mungu atu saidie
  5. mwanza home

    Usiombe ufumaniwe

    Kweli nimeamini mke wa mtu sumu baada ya kunusulika kifo jana. Basi ilikua mchana kama saa 7:30 nikasikia sim yangu inaita kucheki jina alikua mama james wa mtogani kiukweli huyu mama alitokea kunipenda sana kijana wa watu sio siri alinipa kila nilichotaka kwa uwezo wake na mimi nilimpa mapenzi...
  6. mwanza home

    Je, unajua kwanini hufanikiwi?

    *JE UNAJUA KWA NINI HUFANIKIWI?* Una mizigo mingi isiyo ya lazima wala faida ambayo umeibeba 1.Umejipa jukumu la kuwa "mpelelezi" wa maisha ya wengine na umesahau maisha yako 2.Umebeba vinyongo na visasi moyoni vinavyokufanya uwafikirie waliokuumiza zaidi kuliko kufikiria furaha na maendeleo...
  7. mwanza home

    Rashid Makwiro (Chid Benz) hali yake ni tete kutokana na matumizi makubwa ya madawa ya kulevya

    Chid Benzi anatushangaa tunavyomshangaa Na Edo Kumwembe NI zaidi ya kujikuta juu ya kitanda na msichana unayempenda kuliko wote duniani. Ni zaidi ya kutazama bao la ushindi la timu yako katika dakika za majeruhi katika mechi muhimu. Yote haya hayazidi starehe ya kubwia unga. Sahau kuhusu...
Back
Top Bottom